Kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake
Unajua mada kama hizi mleta mada huwa mara nyingi yake hatuyajui huenda hata yeye kuna shida zake ambazo zinamfanya jamaa achepuke
Ila hayo maswala huwa yanamalizwaga na wenyewe huko siye tunatimizaga wajibu wetu wa kushauri tu