Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,220
- 4,901
All The Best Dar Es Salaam Young Africans.
Unbeaten Loading....Twende kazi mabingwa wetu wa msimu huu
Huyu Fei Toto tumpeleke tu Ulaya. Maana hakuna namna.Unbeaten Loading....
Ni yule Chico Ushindi aliyekuwa anasimangwa na watoto wa Dr. Mudi! Anafunga goli la kibabe hapa!Nani huyo tena
Mayele aende likizo... asilazimishe golden boot. Hizi mechi za bonanza.Kikosi Cha Young Africans.View attachment 2269020
Wananchi hawana ushamba walionao makoloWamechukua ubingwa still wachangiaji bado wakuokota okota
Kama kwenye mitandao hali iko hivi, huko uwanjani itakuwaje?
ISKENDER!! from russia!hizo fungaji zenu jina zao kitu gani?