Full Text: Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bajeti 2013/2014 iliyosomwa na Freeman Mbowe

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe, atatoa hotuba yake leo kwa saa 1 bungeni, muda si mrefu kutokea sasa! Atazungumza vitu muhimu sana vyenye maslahi kwa Watanzania na taifa.

Afisa Habari a Chadema Tumaini Makene yupo bungeni kutuletea kila litakalojiri.Pia tunatajia Makene atatuwekea hotuba kamili muda sio mrefu.

Pia wabunge wa Chadema wamekwishaonya dhidi ya mbinu yoyote ya kukatisha hotuba ya Mbowe wakati akiunguruma.Tayari kuna hofu kuu upande wa serikali kufuatia hotuba hiyo inayosubiriwa kwa hamu na kila mpenda demokrasia nchini.

=========================

INAENDELEA....
 

Attachments

  • Hotuba_April11-2013.pdf
    421 KB · Views: 932
Inaendelea hapa...

INAENDELEA...
 
Inaendelea hapa....

===========

 
Kama hoja za Mh. Mbowe ambazo huwa ni nyepesi sana zinaweza kulitikisa bunge, basi hili bunge linatakiwa kutokuwepo kabisa.

He's just there kama kiongozi wa upinzani bungeni by default
 
Hotuba imeanza, kaanza kwa kusema serikali ni dhaifu...
 
Kama hoja za Mh. Mbowe ambazo huwa ni nyepesi sana zinaweza kulitikisa bunge, basi hili bunge linatakiwa kutokuwepo kabisa.

He's just there kama kiongozi wa upinzani bungeni by default
hayo maneno yako in red naona kama dharau fulani... :eyeroll1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…