Full Text: Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bajeti 2013/2014 iliyosomwa na Freeman Mbowe

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe, atatoa hotuba yake leo kwa saa 1 bungeni, muda si mrefu kutokea sasa! Atazungumza vitu muhimu sana vyenye maslahi kwa Watanzania na taifa.

Afisa Habari a Chadema Tumaini Makene yupo bungeni kutuletea kila litakalojiri.Pia tunatajia Makene atatuwekea hotuba kamili muda sio mrefu.

Pia wabunge wa Chadema wamekwishaonya dhidi ya mbinu yoyote ya kukatisha hotuba ya Mbowe wakati akiunguruma.Tayari kuna hofu kuu upande wa serikali kufuatia hotuba hiyo inayosubiriwa kwa hamu na kila mpenda demokrasia nchini.

mbona naangalia na kusikiliza speech ya mbowe sioni bunge linatikisika zaidi ya kushuhudia mipasho yake isiyokuwa na shule? ni maneno tu ya wanung'unikaji. anasema eti mabaraza ya katiba ya kata ya ccm
 
Kamlipua mkuu wa wilaya ya musoma...kwa kung`ang`ania wajumbe wa mabaraza lazma wawe wa sisimu,
 
Huyo ndiye kamanda,anawanyima ccm usingizi kabisa!wanaombea asiwe mkiti wa cdm
 
Kaingia swala la Elimu! karudia tena Mulugo na Dr.kawambwa wajiuzulu....
 
mbowe amenikuna kaichanachana tume ya mabadiliko ya katiba,atangaza dhamira ya chadema kujitoa kwenye mchakato wa katiba.
 
MFUTAILIE KUTOKEA HAPA Arusha Mambo FM Radio - Home

ANASEMA CCM KUPITIA WAKUU WAKE WA WILAYA NA WAKUU WA MIKOA WAMEINGILIA MCHAKATO WA KUPATA WAWAKILISHI WA MABARAZA, AMETOLEA MFANO WA MKUU WA WILAYA WA MSOMA KUITISHA MKUTANO NA KUWAAAMBIA WAJUMBE WOTE KUWA WAHAHAKISHE WALE WOTE AMABO SIYO WANACCM WASISISHINDE KATIKA MABARAZA HAYO.

ANASEMA-CHADEMA ITAJITOA KATIKA USHIRIKI WAKE WA KATIBA MPYA ENDAPO HAKUNA MABADILIKO YA VIFUNGU VYA SHERIA VINAVYOWAPA MAMLKA MAKADA WA KISIASA WA CCM
 

magaidi wa chama chake wamemshinda sembuse bunge la nchi

Ni kweli kwa sababu Dr. Slaa anafanya mpaka kazi za mwenyekiti wa chama taifa ili aweze kutimiza malengo yako. Si unafahamu tena kwa umri wake, mwaka 2015 kwake itakuwa ni DO or DIE, ndiyo maana hata mbinu za kijasusi kwenye siasa kupata kura amezibariki
 
Kamponda waziri mkuu, kwa kushindwa kuwawajibisha mawaziri, kasema serikali ni dhaifu....ijnaunda tume ni nini isichokijua kwenye issue ya Elimu?
 
Back
Top Bottom