Hakuna, vifaa smart vinajua ku adjust vyenyewe resolution.
Sema kuna Mi stick siku hizi ya Full HD kama unataka kusave.
Kama Mdau hapo juu Alivyosema quality haitapungua na kama TV yako ina support HDR quality itazidi kuongezeka japo tv si ya 4k.kwa iyo mkuu,nitaendelea kuona 1080p ata kama nina 4k?au ata iyo 1080 quality yake yaweza pungua sababu natumia kifaa cha 4k?hapo katika kusave nimekupata maana mi s box 4k ipo juu kidogo
Kama Mdau hapo juu Alivyosema quality haitapungua na kama TV yako ina support HDR quality itazidi kuongezeka japo tv si ya 4k.
Na ndio utaendelea kuona 1080p sababu ndio uwezo wa tv. Ili uone 4k vifaa vyote viwili vinahitajika kuwa na 4k.
Kama kioo cha tv sio 4k huwezi pata quality ya 4k hata kama tv box ina support 4k.Huu uzi nime upenda maana nimeona kuna jamaa ana uza izo video box then qna danganya watu eti led tv uki connect na video box quality ya picture ina toka 4K
Huu uzi nime upenda maana nimeona kuna jamaa ana uza izo video box then qna danganya watu eti led tv uki connect na video box quality ya picture ina toka 4K
Ana jipiga changa la macho yy mwenyewejamaa anawapiga changa la macho wateja,iyo kitu haipo,kama tv sio ya 4k huwez pata ubora wa 4k ata kama tv box ni ya 4k