Fuga kuku aina ya Kuroiler ufanikiwe

Fuga kuku aina ya Kuroiler ufanikiwe

Kiongozi mtana wa Batemi,tunaomba ufunguke zaidi kuhusu kuku hawa wa kuroiler kibiashara.Utagaji wao,matunzo yao na mengine mengi mtu atapata mara atakopoamua kuwafuga.
 
Hahahaa bei yenu ipo juuu sana kifaranga wa siku moja shilingi 3000?
Bado sijaingia kwenye risk ya kumtunza?
Hapo hunipati ukienda kwenye vituo vya wizara wanauza kwa shilingi 2000 ambayo ni bei elekezi
 
Hahahaa bei yenu ipo juuu sana kifaranga wa siku moja shilingi 3000?
Bado sijaingia kwenye risk ya kumtunza?
Hapo hunipati ukienda kwenye vituo vya wizara wanauza kwa shilingi 2000 ambayo ni bei elekezi
Viko sehemu gani?
 
Habari.Kwa anayehitaji mayai ya kuku aina ya kroillers tray 15,000/=
Vifaranga vya kroillers siku moja @ 2,000
Nipo Morogoro...:no- 0743185408
 
Hawa wanaosema kuwa walisha wahi fuga kuku wa aina mbalimbali na wote wakawa na ukuwaji na utagaji unao shabiana imradi umewapa lishe bora ni waongo mnoo.Wengi wao hawajawahi hata fuga kuku kazi yao ni kuropoka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ushahidi kuwa wanaropoka tuu, na wanachosema ni uongo
 
Back
Top Bottom