Mtana wa Batemi
Member
- Sep 4, 2013
- 19
- 20
Nilisha rekebisha mkuu pole kwa usumbufu
Wewe umefanikiwa?
Usiogope mkuu maongezi yapo. Tuwasiliane
Karibu na hongera kwa kuwa mfugaji wa kuku.
Karibu Sinade poultry farm tuko Morogoro. Tunajighulisha na ufugaji hasa wa kuku aina ya Kuroiler. Kwa mahitaji yako ya Kuroiler karibu uwasiliane na sisi tutakutumia huko uliko.
Kwa ufupi huduma zetu zinazingatia yafuatayo
1. Ubora.
Kuroiler tulionao, ni bora kwa kuwa tunatotolesha wenyewe kwenye hatchery zetu ambazo zinazingatia viwango vya usafi wa hatchery. Tuna parent stock na vifaranga tunaouza ni first filial generation (F1). Hivyo unapata vifaranga walio bora.
Kwa kuroiler tunaowauza, tegemea kuanza kuuza baada ya miezi 3 (hii ni halisi hususani majogoo) na wanakuwa uzito wa 3. ...Kg, na baada ya miezi 4.5 lazima waanze kutaga mayai. Majogoo ya miezi 7 hadi mwaka mmoja yanauzito wa kuanzia kilo 6 nakuendelea
2. Magonjwa.
Tunafuata taratibu zote za ufugaji bora, ikiwemo utoaji na uchanjaji wa chanjo sahihi na kwa wakati. Kuna magonjwa mengine ambayo asili yake ni kukosa usafi, tunamshauri ufugaji namna na kuepukana na hayo. Unaweza pata vifaranga bora halafu vikapata maambukizo baada ya kuwa navyo. Mfano, Coccidiosis, typhoid, salmonellosis na mengine.
3. Vifaranga wa kuuza.
Tunauza vifaranga wa umri tofauri kulingana na mahitaji ya mfugaji, na uzoefu wake katika tasnia ya ufugaji. Tunauza vifaranga wa siku moja (Tsh. 3,000) na tunaunauza vifaranga wa mwezi mmoja Tsh 6,000/=. Hao wa mwezi mmoja wanakuwa wamepata chanjo 4 za magonjwa hatarishi na yasiyo na tiba. Hivyo, wateja wetu wengi ambao ni wakulima na hawajawahi kufuga tunawashauri wachukue wa mwezi mmoja na ushauri bure. Wafugaji wazoefu ni uamuzi wao. Vyote hivi unavipata kwa order.
4. Kuku wakubwa
Kama unahitaji pia kuku kwa ajili ya kuuza kitoweo wanapatikana kwa order. Na kwa sababu ya changamoto za usafiri, tunashauri, mnunuzi awapate wakiwa wamechinjwa na kupakiwa vizuri. Kama unahitaji wakiwa hai unarkaribishwa kuja kuchukua mwenyewe. Kwa kuku wakubwa bei zetu ni mapatano kutegemeana na ukubwa/uzito wa kuku mwenyewe.
5. Mawasiliano
Unaweza kuwasiliana na sisi kwa namba 0673343601 au sinadefarm@gmail.com au karibu Kilombero Morogoro. kwa wanaohitaji picha nitapost baadae.
hawa kroiler Mwanza wanapatikana? niko visiwani nataka niende mwanza nikawanunue niwafuge hukoKaribu na hongera kwa kuwa mfugaji wa kuku.
Karibu Sinade poultry farm tuko Morogoro. Tunajighulisha na ufugaji hasa wa kuku aina ya Kuroiler. Kwa mahitaji yako ya Kuroiler karibu uwasiliane na sisi tutakutumia huko uliko.
Kwa ufupi huduma zetu zinazingatia yafuatayo
1. Ubora.
Kuroiler tulionao, ni bora kwa kuwa tunatotolesha wenyewe kwenye hatchery zetu ambazo zinazingatia viwango vya usafi wa hatchery. Tuna parent stock na vifaranga tunaouza ni first filial generation (F1). Hivyo unapata vifaranga walio bora.
Kwa kuroiler tunaowauza, tegemea kuanza kuuza baada ya miezi 3 (hii ni halisi hususani majogoo) na wanakuwa uzito wa 3. ...Kg, na baada ya miezi 4.5 lazima waanze kutaga mayai. Majogoo ya miezi 7 hadi mwaka mmoja yanauzito wa kuanzia kilo 6 nakuendelea
2. Magonjwa.
Tunafuata taratibu zote za ufugaji bora, ikiwemo utoaji na uchanjaji wa chanjo sahihi na kwa wakati. Kuna magonjwa mengine ambayo asili yake ni kukosa usafi, tunamshauri ufugaji namna na kuepukana na hayo. Unaweza pata vifaranga bora halafu vikapata maambukizo baada ya kuwa navyo. Mfano, Coccidiosis, typhoid, salmonellosis na mengine.
3. Vifaranga wa kuuza.
Tunauza vifaranga wa umri tofauri kulingana na mahitaji ya mfugaji, na uzoefu wake katika tasnia ya ufugaji. Tunauza vifaranga wa siku moja (Tsh. 3,000) na tunaunauza vifaranga wa mwezi mmoja Tsh 6,000/=. Hao wa mwezi mmoja wanakuwa wamepata chanjo 4 za magonjwa hatarishi na yasiyo na tiba. Hivyo, wateja wetu wengi ambao ni wakulima na hawajawahi kufuga tunawashauri wachukue wa mwezi mmoja na ushauri bure. Wafugaji wazoefu ni uamuzi wao. Vyote hivi unavipata kwa order.
4. Kuku wakubwa
Kama unahitaji pia kuku kwa ajili ya kuuza kitoweo wanapatikana kwa order. Na kwa sababu ya changamoto za usafiri, tunashauri, mnunuzi awapate wakiwa wamechinjwa na kupakiwa vizuri. Kama unahitaji wakiwa hai unarkaribishwa kuja kuchukua mwenyewe. Kwa kuku wakubwa bei zetu ni mapatano kutegemeana na ukubwa/uzito wa kuku mwenyewe.
5. Mawasiliano
Unaweza kuwasiliana na sisi kwa namba 0673343601 au sinadefarm@gmail.com au karibu Kilombero Morogoro. kwa wanaohitaji picha nitapost baadae.
Hao parent stock umewapata wapi?Karibu na hongera kwa kuwa mfugaji wa kuku.
Karibu Sinade poultry farm tuko Morogoro. Tunajighulisha na ufugaji hasa wa kuku aina ya Kuroiler. Kwa mahitaji yako ya Kuroiler karibu uwasiliane na sisi tutakutumia huko uliko.
Kwa ufupi huduma zetu zinazingatia yafuatayo
1. Ubora.
Kuroiler tulionao, ni bora kwa kuwa tunatotolesha wenyewe kwenye hatchery zetu ambazo zinazingatia viwango vya usafi wa hatchery. Tuna parent stock na vifaranga tunaouza ni first filial generation (F1). Hivyo unapata vifaranga walio bora.
Kwa kuroiler tunaowauza, tegemea kuanza kuuza baada ya miezi 3 (hii ni halisi hususani majogoo) na wanakuwa uzito wa 3. ...Kg, na baada ya miezi 4.5 lazima waanze kutaga mayai. Majogoo ya miezi 7 hadi mwaka mmoja yanauzito wa kuanzia kilo 6 nakuendelea
2. Magonjwa.
Tunafuata taratibu zote za ufugaji bora, ikiwemo utoaji na uchanjaji wa chanjo sahihi na kwa wakati. Kuna magonjwa mengine ambayo asili yake ni kukosa usafi, tunamshauri ufugaji namna na kuepukana na hayo. Unaweza pata vifaranga bora halafu vikapata maambukizo baada ya kuwa navyo. Mfano, Coccidiosis, typhoid, salmonellosis na mengine.
3. Vifaranga wa kuuza.
Tunauza vifaranga wa umri tofauri kulingana na mahitaji ya mfugaji, na uzoefu wake katika tasnia ya ufugaji. Tunauza vifaranga wa siku moja (Tsh. 3,000) na tunaunauza vifaranga wa mwezi mmoja Tsh 6,000/=. Hao wa mwezi mmoja wanakuwa wamepata chanjo 4 za magonjwa hatarishi na yasiyo na tiba. Hivyo, wateja wetu wengi ambao ni wakulima na hawajawahi kufuga tunawashauri wachukue wa mwezi mmoja na ushauri bure. Wafugaji wazoefu ni uamuzi wao. Vyote hivi unavipata kwa order.
4. Kuku wakubwa
Kama unahitaji pia kuku kwa ajili ya kuuza kitoweo wanapatikana kwa order. Na kwa sababu ya changamoto za usafiri, tunashauri, mnunuzi awapate wakiwa wamechinjwa na kupakiwa vizuri. Kama unahitaji wakiwa hai unarkaribishwa kuja kuchukua mwenyewe. Kwa kuku wakubwa bei zetu ni mapatano kutegemeana na ukubwa/uzito wa kuku mwenyewe.
5. Mawasiliano
Unaweza kuwasiliana na sisi kwa namba 0673343601 au sinadefarm@gmail.com au karibu Kilombero Morogoro. kwa wanaohitaji picha nitapost baadae.
Asante kwa maoni yako mkuu. Lakini naomba usiipotoshe jamii.Ukweli mtupu nyie watu mnaojiita wafugaji mnapotosha jamii kwa kiasi kikubwa sana. Kuku yoyote ukimfuga vizuri kwa kufuata ratio ya chakula anaotoa mayai mengi na anakuwa na uzito mkubwa na unaostahili. Chukua kuku mpe chakula vizuri uone na mpe dagaa wa kutosha wataanza kutaga na kuwa na afya njema.so nimejaribu kufuga malawi,kuku wa mayai,chotara na Sasho pamoja na kuroiler hakuna kitu ni usanii na lugha ya biashara kuadaa watu.
hawa kroiler Mwanza wanapatikana? niko visiwani nataka niende mwanza nikawanunue niwafuge huko
Hawa wanaosema kuwa walisha wahi fuga kuku wa aina mbalimbali na wote wakawa na ukuwaji na utagaji unao shabiana imradi umewapa lishe bora ni waongo mnoo.Wengi wao hawajawahi hata fuga kuku kazi yao ni kuropoka tu.Asante kwa maoni yako mkuu. Lakini naomba usiipotoshe jamii.
Kwanza umekiri kuwa kuna aina (breed) tofauti. Kwa taarifa kama haufahamu vizuri, kila breed/aina ina tabia na ubora wake.
Vivyo hivyo hata ukiwalisha watakua na kutaga kulingana na asili yao (genes) zao. Hivyo jaribu kusogea mbele kidogo upanue ufahamu wako kuhusu hili, maana litakusaidia.
Mifano ya wazi ya ninachokiongea
1. kwa uelewa wako, mbilikimo akilishwa vizuri atakuwa giant (mrefu)
2. Kuku wa kienyeji nae akilishwa vizuri atataga maya kama layers.
Hii tu ni mifano michache ya kukuonyesha kwa kiasi gani bado unahitaji uende shule. Hivyo tusipotoshe jamii.
wacha nisubiriSina uhakika, mkuu lakini wanaweza kuwepo. Kama kuna mtu anafahamu anaweza kukujuza hapa JF
acha tabia ya kukurupuka uwe unasoma vzr halaf sio mara ya kwanza
Unachosema ni sahihi kabisa. Kuna watu kazi yao kubisha, kukanusha hata wasivyo vijua.Hawa wanaosema kuwa walisha wahi fuga kuku wa aina mbalimbali na wote wakawa na ukuwaji na utagaji unao shabiana imradi umewapa lishe bora ni waongo mnoo.Wengi wao hawajawahi hata fuga kuku kazi yao ni kuropoka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa ushauriacha tabia ya kukurupuka uwe unasoma vzr halaf sio mara ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app