DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Hii hapa mechi ya kukamilisha ratiba kwa Simba SC dhidi ya Stade Malien kutoka Mali, ambao tayari wameshafuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) katika Kundi D.
Kwa Simba, huu ni mchezo wa heshima, kwani ushindi utawafanya wafikishe alama 5 badala ya 2 walizonazo sasa, ingawa tayari wameshathibitisha kumaliza katika nafasi ya mwisho ya kundi hilo.
NB: Simba haijafanikiwa kushinda mchezo wowote katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2025/2026.
Petro Atletico De Luanda na Esperance De Tunis timu itakayopata ushindi itasonga mbele kuungana na Stade Malien katika hatua inayofuata ya michuano hiyo.
Kwa Simba, huu ni mchezo wa heshima, kwani ushindi utawafanya wafikishe alama 5 badala ya 2 walizonazo sasa, ingawa tayari wameshathibitisha kumaliza katika nafasi ya mwisho ya kundi hilo.
NB: Simba haijafanikiwa kushinda mchezo wowote katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2025/2026.
Petro Atletico De Luanda na Esperance De Tunis timu itakayopata ushindi itasonga mbele kuungana na Stade Malien katika hatua inayofuata ya michuano hiyo.