Kila la kheri Yangaaa 💚💚💚💪💪💪
Ambae anafunga magoli ya akili mno kuliko yule Papaa Omary wa Njombe..
wastaafu fcYangaaa......
Kabisa tukaonyeshane ubabe na kina Borussia Dortmund. 😅😅Hii Yanga ufanyike utaratibu ikacheze ligi ya nchi nyigine Ujerumani huko kwa kina Leverkusen, kuendelea kucheza bongo ni unyanyasaji.
16:00Which relevant time to start the matchday Yanga SC VS Mashujaa FC?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Utupe Updates mdauMatch Day
NBC Premier League
Mashujaa Vs Yanga
Lake Tanganyika Stadium
Leo majira ya saa kumi jioni timu ya Mashujaa kutoka Kigoma itacheza na wageni wao timu ya Yanga kutoka Dar katika mechi ya NBC premier league ikiwa ni michezo yao ya 25 kwa msimu huu.
Unatarajiwa kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa, kwani Mashujaa wanazihitaji sana pointi 3 ili kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuendelea kushiriki ligi kuu huku Yanga wakihitaji alama 3 za kujihakikishia ushindi wa ligi mapema.
Leo mtasemaKama kawaida tunachohitaji Timu ya Wananchi ni points tatu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko