Klabu ya Simba itacheza leo mchezo wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Esperance ya Tunisia, ikiwa ni mechi yake ya tatu katika kundi hilo. Simba iko mkiani mwa msimamo wa kundi ikiwa haina pointi, baada ya kupoteza mechi zake mbili za awali. Je, Simba itaweza leo kufufua matumaini yake ya kusonga mbele katika michuano hiyo?
Hoo game kama una 1M una mpa Experance anshinde na goli tatu zipatikane maana Simba anaenda kupigwa sii chini ya goli 4. Timu lina cheza kipumbavu sana hili. Hakuna morali hata kidogo sijui tume rogqa na nani. 🤔