mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 684
- 1,463
Mabingwa wa kutandaza kandanda safi barani Afrika, kandanda lilioenda shule, kandanda lenye viwango vya UEFA hapa nawazungumzia Young Africans leo wanashuka dimbani huko Lubumbashi nchini Kongo kumenyana na Tp Mazembe katika mchezo wa mwisho wa kundi D kombe la shirikisho barani Afrika.
Ikumbukwe mechi ya kwanza iliyopigwa jijini Dar es Salaam Yanga ilishinda goli 3-1 hivyo Tp Mazembe wataingia wakiwa na kiu ya kulipa kisasi.
Yanga wanaongoza kundi D wakiwa na point 10 na tayari wametinga hatua ya robo fainali hivyo nao watataka washinde ili kujihakikishia uongozi wa kundi lao.
Mechi hii itapigwa katika uwanja wa Tp Mazembe na itaanza mida ya saa 10:00 jioni na itarushwa Azam Sports kupitia channel yake ya ZBC2
Tuwe wote Kwa dakika 90 za mchezo huu..........
Kikosi cha YANGA kinachoanza
Metacha
Job
Lomalisa
Bacca
Mwamnyeto
Bangala
Mudathir
SureBoy
Moloko
Musonda
Mayele
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Stay tuned
Mchezo umeanza licha ya kuwa idadi ya mashabiki ni wachache, inavyoonekana ni kama wamekata tamaa baada ya Mazembe kuwa na matokeo mabaya
1' Ngoma imeanza
20' Kasi ya mchezo si kubwa sana, timu zote zinapeana zamu kumiliki mpira
35' Mazembe wanajaribu kutengeneza nafasi lakini Yanga wapo makini
40' Timu zinapeana zamu kumiliki mpira
45' Zinaongezwa dakika 2
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
50' Mazembe wanafanya shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini shuti linatoka nje
54' Mabadiliko kwa Yanga, Farid Mussa anaingia anatoka Mudathiri Yahya
56' Mazembe wameongea kasi ya kushambulia tofauti na kipindi cha kwanza
65' Farid Mussa anafunga goli baada ya kipa wa Mazembe kuutema mpira ndani ya eneo la 18
80' Anatoka Musonda anaingia Clement Mzize
88' Beki wa Mazembe anapata kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Mayele
Full Time
Ikumbukwe mechi ya kwanza iliyopigwa jijini Dar es Salaam Yanga ilishinda goli 3-1 hivyo Tp Mazembe wataingia wakiwa na kiu ya kulipa kisasi.
Yanga wanaongoza kundi D wakiwa na point 10 na tayari wametinga hatua ya robo fainali hivyo nao watataka washinde ili kujihakikishia uongozi wa kundi lao.
Mechi hii itapigwa katika uwanja wa Tp Mazembe na itaanza mida ya saa 10:00 jioni na itarushwa Azam Sports kupitia channel yake ya ZBC2
Tuwe wote Kwa dakika 90 za mchezo huu..........
Kikosi cha YANGA kinachoanza
Job
Lomalisa
Bacca
Mwamnyeto
Bangala
Mudathir
SureBoy
Moloko
Musonda
Mayele
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Stay tuned
Mchezo umeanza licha ya kuwa idadi ya mashabiki ni wachache, inavyoonekana ni kama wamekata tamaa baada ya Mazembe kuwa na matokeo mabaya
1' Ngoma imeanza
20' Kasi ya mchezo si kubwa sana, timu zote zinapeana zamu kumiliki mpira
35' Mazembe wanajaribu kutengeneza nafasi lakini Yanga wapo makini
40' Timu zinapeana zamu kumiliki mpira
45' Zinaongezwa dakika 2
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
50' Mazembe wanafanya shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini shuti linatoka nje
54' Mabadiliko kwa Yanga, Farid Mussa anaingia anatoka Mudathiri Yahya
56' Mazembe wameongea kasi ya kushambulia tofauti na kipindi cha kwanza
65' Farid Mussa anafunga goli baada ya kipa wa Mazembe kuutema mpira ndani ya eneo la 18
80' Anatoka Musonda anaingia Clement Mzize
88' Beki wa Mazembe anapata kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Mayele
Full Time