Alikuja kukalia kitu chenye ncha Kali akajamba checheJamani mimi nilikuwa nanjilinji kulima ufuta na yanga wakati natoka alikuwa klabu bingwa na kwa ninavyofahamu mechi za klabu bingwa zimeisha jana.
Sasa uto leo anacheza michuano gani na kule klabu bingwa baada ya kumtoa zalan ilikuwaje?
SanteeeGame on.......
Mkuu mbona km unawashwa sana?? Si utulizane tuAcha niangalie mbungi ya Singida BS na mbeya city,, siwezi kupoteza muda wangu kuwaangalia losers kwenye kombe la mbuzi
Hasira za 3; 0 mkuu?Unatuletea updates za kombe la mbuzi halafu unatuambia stay tuned!, nani ana muda huo
Tuliza kitumbua hicho usinipangie cha kucommentMkuu mbona km unawashwa sana?? Si utulizane tu
CAF haya mashindano ya losers huwa hawayazingatii sanaHizi camera vipi? Mbona watu weusi sana
Mkuu HD ni kwaajili ya Cafcl tu, nyie kwenye kombe lenu la mbuzi hata mkionekana vivuli haina nomaHizi camera vipi? Mbona watu weusi sana
Hii Yanga inanikumbusha chama langu, timu ya wabeba mizigo ya Tandale sokoni
Aya tulia sasaTuliza kitumbua hicho usinipangie cha kucomment