Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 854
- 1,260
Mbona tunashindaga na hakuna kelele yeyote ile??Hakika
Mbona tunashindaga na hakuna kelele yeyote ile??Hakika
Mzize alikua anatokea pembeni vipindi vyote,aningia na mpira ndaniNini ambacho huelewi, mzize kabla ya pacome kutoka alikua anacheza wapi? Na baada ya guede kuingia unaona anacheza wapi?
Sema nyie ni wapole sana aiseeMbona tunashindaga na hakuna kelele yeyote ile??
Mimi tangu juzi nilikuwa nimepanga kumpa Azam dau kubwa sana, na sasa hizi ningekuwa naumwagilia moyo kwa pesa ya Kanj.Asanteni Azam FC. Nlikuwa nmebeti kwa hela ya nauli kesho. Saiv mambo muruaaa
trust me aichukui league anafungwa match zote zinazo fatalmapema sana kusema hivi, angeshinda usingesema hivi
Yeah sahihi....kuchoka piaYanga ni Aucho, Aucho anaituliza sana timu. Magoli yote mawili yaliyofungwa leo ni ya uzembe wa hali ya juu. Na pia inawezekana wachezaji wamechoka kutokana na mucheza mechi mfululizo ndani ya siku chache tena ni mechi zilizokuwa ngumu
Sure boy leo alikua unga sana. hakabi vizuri, pasi zinapotea, hatembei na mpira hata akiwa peke yake. Usajili wa kiungo mzuri mzawa unahitajika
Uwezekano wa hilo kutokea bado upo sana tu.naweka laki gamondi achukui league. nipeni site tu kubetia the league winner.
kwa hii lugha yako inaonekana hujui mpira mkuu.trust me aichukui league anafungwa match zote zinazo fatal
Kwa io pacome ndo alikua anacheza striker Leo?Mzize alikua anatokea pembeni vipindi vyote,aningia na mpira ndani
Alisema wao hawadeki. Kocha analalamika.Halafu leo kocha wao ndio analalamikia hicho hicho. Kajinga
Kacheza mechi ngapi hadi sasa? Kafungwa mechi ngapi na kashinda mechi ngapi? Tukuamini wewe kama nani Mungu au mpiga ramli au mganga wa kienyeji?trust me aichukui league anafungwa match zote zinazo fatal
Yanga hakuna mtu anayesimama pale mbele mpaka move ifike pale,goli la mzize mzize kautoa wapi mpira!?..kipindi Cha pili mzize alikua anatokea mashariki kule anaingia ndani,alipotoka ikawa kazi ya Aziz kutokea kuleKwa io pacome ndo alikua anacheza striker Leo?