Tumia mitandao ya kijamii kwa kujiletea maendeleo na siyo kueneza chuki,ukabila na udini.Tafadhali epuka lugha ya kashfa na matusi kwenye mitandao ya kijamii.
Ila hizo lugha za uchochezi tukazitoe makanisani,misikitini na white house dodoma?hawajielewi hawa.waanze na Lukuvi,JK na magamba mengine.Hivi TCRA Wanasimamia mawasiliano ya aina gani,mbona wanabase kwenye mitandao tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.