From tcra

From tcra

Ndwanga

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
23
Reaction score
2
Tumia mitandao ya kijamii kwa kujiletea maendeleo na siyo kueneza chuki,ukabila na udini.Tafadhali epuka lugha ya kashfa na matusi kwenye mitandao ya kijamii.
 
Ila hizo lugha za uchochezi tukazitoe makanisani,misikitini na white house dodoma?hawajielewi hawa.waanze na Lukuvi,JK na magamba mengine.Hivi TCRA Wanasimamia mawasiliano ya aina gani,mbona wanabase kwenye mitandao tu!
 
Wameshindwa kulazimisha makampuni ya Vizimbuzi kuwa na channel zote za local ndo waweze hili la wengi na usiowafaham! Serikali hawapo serious.

Mtu unakuwa na ving'amuzi kumi ndani na kila kimoja channel yake na TCRA wamekaa kimya!

Hivi kweli wanajielewa wanalolifanya?
 
Back
Top Bottom