Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Jana nilishangaa sana serikali kupitia tcra ati wanampango wa kubadilisha mitambo yao kutoka analog to digital
ni stage nzuri na ya kupongezwa laikini kutokan na ilivyoelezwa kuna kamnuzo nuzo cha ulaji...ati kuwepo na makampuni mawili ama matatu yatakayokuwa yamekabidhiwa kwa kazi hiyo so kampuni za itv star tv channel ten wakiitaji wawafwate hawa mabwana ndio waingizwe kwenye mpango wa digital...mmmaahhh jamani ama ndio sehemu ya kutafutia pesa za kampeni 2010....mbona mnataka kuwaumiza hivi watanzania....niliumia sana kusikia ati katika kila alufukumi ati serikali waanchukua alfu tatu\
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haya tuwaachie wenyewe
ni stage nzuri na ya kupongezwa laikini kutokan na ilivyoelezwa kuna kamnuzo nuzo cha ulaji...ati kuwepo na makampuni mawili ama matatu yatakayokuwa yamekabidhiwa kwa kazi hiyo so kampuni za itv star tv channel ten wakiitaji wawafwate hawa mabwana ndio waingizwe kwenye mpango wa digital...mmmaahhh jamani ama ndio sehemu ya kutafutia pesa za kampeni 2010....mbona mnataka kuwaumiza hivi watanzania....niliumia sana kusikia ati katika kila alufukumi ati serikali waanchukua alfu tatu\
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haya tuwaachie wenyewe