FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
na mheshimiwa rais nimemfikishia salam alienda kumsalimia babu loliondo.weekend njema kwa wote
Hahahaaaa leo ni ndovu tu Ndetichia....Hujaona kwa hapo chini?
na mheshimiwa rais nimemfikishia salam alienda kumsalimia babu loliondo.weekend njema kwa wote
Kwani hujaona kwa Bagah na Shemeji yake?
Namsalimia mume wangu judgement tu, wengine wote naombeni msubiri salamu part 2. Lol, msinune jamani. Nawasalimu wote. Nawapenda sana.
thanks Judgement kwa kunipaisha itabidi upate tusker bariiiidi..
zako nimezipokea kwz mikono yote....
Ila B52 alitutenga, loh
Dah dogo tumeziokea kwa shangwe sana....Amyner hajambo....Kula kitu ndovu uone maisha kwenye mwanga bora ila usiwachokoze akina Muraa watakutoa nanii....sijui nimsalim nani...nimuache nani...Ericky braza angu na mkewe Amyner wakiwa DUKABOVU arusha...aaaaah kama vip wengine jiongezeni...sitaki lawama mm wajameni...nawapenda sana!...kitu ndovu baridi huku MUSOMA...ni pazuri kusema ukweli...
na wewe pia ila Jpili ntakuwa taifa kuona simba anapakatwa..
Kijana najua ndani ya jiji unakula raha....inabidi twende pale Vila tukashtue zile ngoma zetu za enzi zileeeeee siunajua mambo ya umri....kunesanesa taratibu....mambo ya oyooo yoooo tunawaachia akina Malingolo na BagahNo no 52 alishaniPM kua anaanzisha Uzi then ananipigia pande - pasi ndefu kwangu then mi natiririka nayo!
Wachawi hakuna au hawajafika....Asante wife ! Umenipa chachandu nizidi kukutunzia MNOFU wako! Abadan unakula peke yako!
Hakuna cha Mwanga wala Mchawi Mammiy!
Nofu ni Nofu lako tu!