Nipo nyuma yao hakuna kinachoharibikaKwanini wao wamepata? Wakati watu wengine kila wakiomba wananyimwa mpaka wanaenda mikoani?
Ni nani yupo nyuma yao
Muwekee linkBrother uwe unajaribu kusoma nyuzi mbalimbali zinazohusu unachotaka kukiandika kabla hata hujaandika chochote majibu yapo humuhumu kitambo sana.
NDIYO MAANA KUNA SEHEMU YA KUTAFUTA (search)Muwekee link
Jamaa anahisi unashinda jf muda wote...Siwezi kusoma kila kitu kama kuna taarifa weka link