annie baby
Member
- May 4, 2017
- 45
- 25
Fremu inapangishwa maeneo ya biafra karibu na kinondoni revival church...fremu n shilingi 70000 elfu..nachukua kwa miezi sita...n dm kwa maelezo
PoaTunaomba usiweke picha kaa nazo
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Tunaomba usiweke picha kaa nazo
Tunaomba usiweke picha kaa nazo
. Nayeye kasema 'poa' kama mbwai mbwai tu.😂 😂 😂 😂 😂![]()
![]()
. Nayeye kasema 'poa' kama mbwai mbwai tu.
hahaaaa km utani lkn n kweli kbsaaa, ya nn upange vyumba viwili km bado kipato kdg, mwisho wa siku hela ya faida inaishia kulipia pango B, km hamna chumba hata kwenye droo ya pesa unalala.Ina chumba humo humo? biashara sikuhizi unaponea humo humo duka na malazi
hahaaaa km utani lkn n kweli kbsaaa, ya nn upange vyumba viwili km bado kipato kdg, mwisho wa siku hela ya faida inaishia kulipia pango B, km hamna chumba hata kwenye droo ya pesa unalala.



we jamaa kila nikisoma comments zako lazima nicheke