Freezer linauzwa

Shayla

Senior Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
193
Reaction score
129
Wadau Nauza Friza kubwa kama linavyoonekana kwenye picha hapo chini bado ni Jipya limetumika miezi miwili tu,bei inaanzia laki tano(500,000) ila tunaweza kuelewana. aliye serious ani PM tuongee zaidi.
 

Attachments

  • FRIZA9.JPG
    31.2 KB · Views: 196
  • FRIZA 1.JPG
    24.1 KB · Views: 164
  • FRIZA 4.JPG
    40.9 KB · Views: 169
  • FRIZA 8.JPG
    25.7 KB · Views: 150
  • FRIZA 2.JPG
    28.1 KB · Views: 153
Shayla
Ushauri ili kukupunguzia usumbufu wa PM ningekushauri update tangazo lako ueleze lilipo hilo freezer katika dunia hii.
 
Usije kukuta kaliokota getini uccle maeneo ya barabara ya waterloo getini kwa mfaransa analiuza akiwa uko belgium ni heri ukatuambia lipo nchi gani
 
Nashukuru Mkuu kwa ushauri,

Friza lipo Da es salaam maeneo ya kitunda na bado ni jipya kazi iliyohitajika kufanya haikuweza kudumu, anayelihitaji anakaribishwa kuongea bei, bei yangu inaanzia laki tano(500,0000)
 
Mkuu hela yangu imepungua nina kilo tatu vipi unaweza kunisaidia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…