Freemasonry Wametushika kila kona

jamani naomba tujifunze kusoma biblia na kuitafakari kwa kadri ya kusudio la mwandishi, lugha iliyotumika, mazingira ya waandikiwa, tamaduni zao na sababu za kuandikiwa. Ukijua haya yote utajua namba 666 ilimuhusu nani.
vicarius filii dei
 

unahoma
 
Tena ya dege kama una amka asubuh unawaza kudanganya mambo juu ya fremasons hadithi zenu zakipumbavu mtawadanganya kina kayumba tu naamini watu wengi tunapotea kwa simulizi za makanjanja tuondolee uvivu wako wakufikiri
 

Mkuu unamaanisha maarifa gani. Mbona hata haya maelezo ya jamaa mwenye hii story ni maarifa makubwa sana.
 
 
Hamna kurogwa kakangu. hivyo ndivyo mambo yalivyo kwa sasa. Pili, hatuwezi kuyageuza mwanangu kwamaana mwanga haupo nasi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…