Freeman Mbowe unatuachaje?

Tunamhitaji Mbowe sasa kuliko wakati mwingine wowote!
 
Sioni akitekeleza hilo, naona anajikausha akidhani tumesahau ahadi zake. Upuuzi mtupu.
Alafu ni aibu sana wanachama kusema "hawaoni mtu" maana ni sawa na kusema mwenyekiti hajafanya succession plan ya kutosha.

Kung'atuka naona itakua ngumu especially sasa ambapo kwa udhaifu wa Samia, ujio wa tume huru, na maridhiano Kuna "uhakika" wa kushinda madaraka, serikali mseto au wabunge wa "kumwaga" so sidhani atakubali awe mbali ilihali wakati wa mafanikio umewadia.
 
Hata mimi nauna mkono hoja jamaa aendelee kidogo sababu CCM hii ni hatari atuache na katiba mpya
 
haondoki mtu hapa, kafie huko ccm

Lord Atkin outlined the parameters of the duty of care in this field in the following often-quoted terms: “You must take reasonable care to avoid acts or omissions which you can reasonably foresee would be likely to injure your neighbour.2
 
Jaribio la Zittow kuuchukua uenyekiti lingefanikiwa,

Leo hii CDM ingekuwa tawi la CCM!!
 
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa mno haijawai kutokea, Mwamba aendelee kutuongoza hadi tumtoe nyoka pangoni(DP ) na kupatikana kwa katiba mpya.
 
Kwani wewe ulimkutaje,ulivyomkuta ndivyo utakavyo kuacha😂
 
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa mno haijawai kutokea, Mwamba aendelee kutuongoza hadi tumtoe nyoka pangoni(DP ) na kupatikana kwa katiba mpya.
Hakika majukumu ni mengi sana! 1. KATIBA MPYA 2. DP WORLD 3. TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Sipingi usemacho mkuu, lakini nitofautiane kidogo na ww, sidhani hata kama mazingira hayo yasingekuwepo angeachia. Ni mtu ambaye tayari ameshageuza hicho cheo ni sehemu ya maisha yake. Na katika mazingira hayo, hata ukifanyika uchaguzi ni lazima yeye na kundi lake wachezee uchaguzi kwa lengo kwa kumbakisha madarakani.

Yaani ni mambo ya aibu kabisa. Mimi huyo Mbowe nilishamtoa maanani toka kosa la kijinga la ujio wa Lowassa. Hapo alipo anafanya trail & error akitegemea kupata mafanikio zaidi ya aliyoyapata kwenye uongozi. Kuna mtu nilimwambia hapa hata hiyo 2023 hataachia madaraka, bali alikuwa anajaribu kupooza joto la watu kumtaka aachie ngazi.
 
Mbowe lazima atimize ahadi yake ya kusitaafu 2023, wanachadema tunaenda na halima mdee
 
kiuhalisia mbowe akiondoka chama kina kufa mbowe ni mstaaf=rabu anajuwa siasa lisu ana jazba ambayo haitakiwi katika siasa heche ni mbumbumbu wa siasa na anatamaa na madaraka tu akiwa hajy=ui ataenda kufanya nini
Kwani Lissu ndiyo atakuwa Mwenyekiti ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…