Freeman Mbowe: Muziki wa CHADEMA mtauona....

Freeman Mbowe: Muziki wa CHADEMA mtauona....

Ni mjinga tu ndani ya uhai wa chama miaka 25 anajivunia asilimia 14.swineee.
 
Ccm ni chama chenye misingi imara kukitoa madarakani sio rahisi kwa karne tu.labda tu kwa upinzani ni kupunguza tu wingi wa asilimia za ushindi.kuipunguzia hata robo aslimia ni sawa na ushindi kwa upinzani ambao wanajua wazi hawawezi kushinda
 
Wadau Jf,
Katika moja ya hotuba alizowahi kutoa Mh Freeman Mbowe wakati wa kuwashukuru wazee kutoka Kigoma waliomchangia pesa ili achukue fomu ya kugombea uenyekiti wa CDM Taifa, aliwahi kusema " CCM wataujua muziki wa Chadema wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa". Mbowe ni mwanasiasa makini na anyejua nini anafanya, big up Mbowe!!
kwahio ni Chadema
na wala sio ukawa tena
naomba nirudie

kwahio ni Chadema na wala sio Ukawa?

Cuf,Nccr angalieni mnakoenda.
 
Latest kiao cha tezi dume siyo jumatatu tena bali kimehairishwa mpaka jumatano na safari hii analihutubia taifa siyo kuhongea na wazee tena du sources redio free afrika taarifa ya habari saa kumi jioni muda si mrefu

Naona ni sawa kwa kuwa bado yuko kwenye mapumziko hatakiwi kuruka ruka. Suppose mshono unaachia unadhani itakuwaje? Mwacheni apumzike.
 
Muziki wa chadema inamaana mbowe amerudia fan yake ya zamani?
 
na hapo ni pamoja na msaada wa Tumbili na escrow, je tumbili asinge leta escrow wangepata ngapi?

Hahaha...nyani haoni kundule...nanyie bila mapingamizi feki na wizi wa kura mngepata ngapi?
 
Mziki wameshauona, maccm hayawezi hata kuucheza yamezoeea mziki wa Komba.

Salam zimewafikia. Walikuwa wanabeza sasa wanapishana pishana tu.

Ragge unacheza taarabu?

na baba yao leo kaogopa kusema
 
Kama wanasiasa wangekuwa wanasajiliwa kama wachezaji CCM wangevunja kibubu wamsajili Mbowe,Tena wangetoA hela yyt ambayo CDM wangetaka.......Mbowe Ni kiama kwa CCM a.k.a ESCROW.
 
Ni mjinga tu ndani ya uhai wa chama miaka 25 anajivunia asilimia 14.swineee.

Kwa kweli nilipobaini kuwa 36% CCM walipita bila kupingwa nikajiuliza,je tukitoa hicho kiasi tukalinganisha kiasi kilichoshindaniwa tu itakuwaje.
Kwa kweli hiyo ndiyo itatoa picha halisi ya ushindani uliopo.Mimi nadhani tusubiri chaguzi zikamilike Jumapili halafu tukokotoe sehemu zilizopigiwa kura tu na kiasi cha kura kwa kila chama.
 
TUNAMSAJILI DIRISHA TUTATUMIA KIWANGO CHETU CHA 1.Point-----------bn
 
Back
Top Bottom