kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,939
- 17,400
Ili uchunguzi ukamilike huyo aliyetowa taarifa ni lazima ahojiwe kwa kina!Mamluki David Silinde , mtu duni aliyeokotwa na Chadema akiwa hana lolote , ambaye alitunukiwa unaibu Waziri na Magufuli akishirikiana na watu wa Usalama kwa masharti , leo ametajwa hadharani mchana kweupe kwao Tunduma , kwamba ALISHIRIKI VITENDO VYA KUTEKA , KUTESA NA KUUA VIONGOZI WA CHADEMA TUNDUMA ILI KUMFURAHISHA MAGUFULI .
Hii si tuhuma ndogo ya kunyamaziwa na Jeshi la Polisi , Na hasa kwa vile imetolewa na MTU WA KUAMINIKA , FREEMAN MBOWE .
Itakuwa aibu na fedheha kubwa sana ikiwa Jeshi la Polisi litaacha kumkamata Silinde na kumhoji kuhusu jambo hili , uchunguzi huu waweza kufumua mambo mengi kuhusu masharti waliyopewa wasaliti wengine wakiwemo Mashinji , Slaa , Lijuakali , Nassari na wengine , je hawa nao wameteka na kuua wangapi ?
Angalizo : Kila Ubaya Utalipwa tu .
Uhuru wa kuropoka umezidi.Ili uchunguzi ukamilike huyo aliyetowa taarifa ni lazima ahojiwe kwa kina!
With all the due respect to you Brother Yoda..Mbowe aache kufanya mahubiri. Yeye ni mwanasiasa na sio muinjilisti, mtume, padri, mchungaji au askofu.
Mbowe alitoka familia duni akamuuwa Wangwe?Ndio walivyo watu wengi waliotoka familia duni , hebu fikitia huyu alinunuliwa hadi nguo na Chadema , lakini akaamua kusaliti !
Mbowe ni nani mpaka aseme uongo akisharmtakiwa anaweza kuthibitisha hizo tuhuma?With all the due respect to you Brother Yoda..
Silinde kama anaisahau CDM kwenye masha yake ya siasa he dont deserve sht.. nikwambie.. i was his class mate abd a friend najua how he became MP at just 26... usimtetee kwa madhaif pengine ya Mbowe
..Sasa ni afadhali viongozi hao wa Dini wakatoka hadharani na kumuombea msamaha Magufuli kulingana na kile alichotubu.
Absolutely, zinathibitika...!!Mbowe ni nani mpaka aseme uongo akisharmtakiwa anaweza kuthibitisha hizo tuhuma?
USSR
By all means, Silinde ni snitch and ungrateful... angeweza fanya maisha bila ku hurt his home boys.... truly dissapointed by his attitudeMbowe ni nani mpaka aseme uongo akisharmtakiwa anaweza kuthibitisha hizo tuhuma?
USSR
Mbowe yuko TayariIli uchunguzi ukamilike huyo aliyetowa taarifa ni lazima ahojiwe kwa kina!
It is speculation from bogus politician, he can't even try to step up in court room
Siasa za masimango mzee mwenzangu..anatumia hisia kuuteka umma badala ya sera, CCM waendelee TU kuiba kura,watz bado hawajawa tayari kujua nani anafaa kushika hatamu za nchiMbowe aache kufanya mahubiri. Yeye ni mwanasiasa na sio muinjilisti, mtume, padri, mchungaji au askofu.
Kweli hawana sera bali kelele za MagufuliSiasa za masimango mzee mwenzangu..anatumia hisia kuuteka umma badala ya sera, CCM waendelee TU kuiba kura,watz bado hawajawa tayari kujua nani anafaa kushika hatamu za nchi
Na aliyemuua chacha wangwe atalipwaAtalipwa kwa ubaya wake
Sumaye alipotaka kiti aliambiwa sumu haionjwi,hii inaleta fikra Fulani juu ya kifo Cha wangwe,lakini huo usaliti wa yuda kwa vipande vya fedha aliousema mbowe unamgusa nae,atubu,maana aliuza kiti Cha chama kugombea urais kwa vipande vya fedha anavyojua yeye idadi yake,akasaliti kusanyiko la mwembe yanga lililolaani orodha ya aibu(list of shame) ambayo 'fisadi' lowasa alikuwemoweka ushahidi hapa , Dereva aliyeendesha gari iliyopata ajali na kumuua Wangwe alihukumiwa kifungo jela , baadaye akaachiwa kwa Msamaha wa Rais Mkapa , unadhani kwanini aliachiwa ?
Msitufanye wajinga kwa kunyamaza , tunajua kila uchafu wenu wajinga wakubwa nyie .
Wewe wakati huo una miaka mitano ulijua kitu gani mnafiki wewe ?
Chadema wanasheria waende mahakamani badala ya kulialia kwenye majukwaa kutaka hurumaSumaye alipotaka kiti aliambiwa sumu haionjwi,hii inaleta fikra Fulani juu ya kifo Cha wangwe,lakini huo usaliti wa yuda kwa vipande vya fedha aliousema mbowe unamgusa nae,atubu,maana aliuza kiti Cha chama kugombea urais kwa vipande vya fedha anavyojua yeye idadi yake,akasaliti kusanyiko la mwembe yanga lililolaani orodha ya aibu(list of shame) ambayo 'fisadi' lowasa alikuwemo
It's you who can't even dare to take him to the court of law bacause the evidence is crystal clear just before your faces................those hundreds of victims of his actions..!!It is speculation from bogus politician, he can't even try to step up in court room
USSR
Hujui loloteSumaye alipotaka kiti aliambiwa sumu haionjwi,hii inaleta fikra Fulani juu ya kifo Cha wangwe,lakini huo usaliti wa yuda kwa vipande vya fedha aliousema mbowe unamgusa nae,atubu,maana aliuza kiti Cha chama kugombea urais kwa vipande vya fedha anavyojua yeye idadi yake,akasaliti kusanyiko la mwembe yanga lililolaani orodha ya aibu(list of shame) ambayo 'fisadi' lowasa alikuwemo
😅😅Mbowe anaongea kama Mtumishi wa MunguNanukuu
Familia za wote waliofungwa na Kutekwa wapite mbele naona kuna Wengine walemavu kutokana na David Silinde, Msihofu wana Tunduma mlipigania haki na haki haitaenda bure daima, David Silinde kuna siku Madhira aliyowatendea yatamrudia Yeye mwenyewe kama hatawaomba msamaha wana Tunduma, Sisi wakristo tuna amini Katika msamaha