Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,436
- 283,720
Sabaya amefungwa miaka 30 kwa kuhisiwa kuiba simu ya Tecno na laki 3Ugaidi wa laki 6 !
Sasa Erythrocyte ikitokea Mbowe akahukumiwa kwa kesi hizo.. Ni nani atakaekuwa kamshinda mwenzake kati ya Mungu na shetani? Maana katika uchaguzi mkuu tuliaminishwa hivi hivi matokea yake mshindi akapatikana upande ule ulioonekana kuwa sio wa Mungu. Sasa swali lingine ni Mungu gani anaeshindwa na kiumbe alichokiumba mwenyewe (shetani)? Au huyu Mungu mnaesemaga kuwa hashindwi na shetani na baadae anashindwa sio yule Mungu halisi tunaemjua kupitia utukufu wake?View attachment 1978393
KATIKA DUNIA HII HAKUNA MAHALI POPOTE PALE AMBAPO SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , Ikumbukwe pia kwamba KILA UBAYA UTALIPWA .
Hawakushinda bali walijitangazaSasa Erythrocyte ikitokea Mbowe akahukumiwa kwa kesi hizo.. Ni nani atakaekuwa kamshinda mwenzake kati ya Mungu na shetani? Maana katika uchaguzi mkuu tuliaminishwa hivi hivi matokea yake mshindi akapatikana upande ule ulioonekana kuwa sio wa Mungu. Sasa swali lingine ni Mungu gani anaeshindwa na kiumbe alichokiumba mwenyewe (shetani)? Au huyu Mungu mnaesemaga kuwa hashindwi na shetani na baadae anashindwa sio yule Mungu halisi tunaemjua kupitia utukufu wake?
Mkuu pole kwa kifungo cha sabaya , ndio basi tena , zile bia mlizopora zitawatokea puani , tumeanza kusaka mmoja mmoja , kwenye orodha umoTo highlight this matter is a good move. You must highlight it repeatedly.
Mimi niliwai kulala mahabusu siku moja tuuNa bado mvua 30 zinamsubiri
View attachment 1978393
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe , na baadaye kutengenezewa Mashitaka ya kutunga ya Ugaidi .
Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na Kingai si jambo jepesi , Bali ukweli uko wazi kwamba KATIKA DUNIA HII HAKUNA MAHALI POPOTE PALE AMBAPO SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , Ikumbukwe pia kwamba KILA UBAYA UTALIPWA .
Kesi ni kesi tu hakuna ya uwongo Wala ya ukweli mpaka Mahakama itakapotoa hukumu.View attachment 1978393
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe , na baadaye kutengenezewa Mashitaka ya kutunga ya Ugaidi .
Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na Kingai si jambo jepesi , Bali ukweli uko wazi kwamba KATIKA DUNIA HII HAKUNA MAHALI POPOTE PALE AMBAPO SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , Ikumbukwe pia kwamba KILA UBAYA UTALIPWA .
Mungu amjalie moyo wa uvumilivu na uhimilivu. AminaView attachment 1978393
Leo ni miezi mitatu kamili tangu kukamatwa kwenye masuala ya kongamano la Katiba mpya na kurundikwa rumande kwa mwamba Mbowe , na baadaye kutengenezewa Mashitaka ya kutunga ya Ugaidi .
Miezi mitatu kwa kesi ya uongo ya ugaidi ya kutengenezwa na Kingai si jambo jepesi , Bali ukweli uko wazi kwamba KATIKA DUNIA HII HAKUNA MAHALI POPOTE PALE AMBAPO SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , Ikumbukwe pia kwamba KILA UBAYA UTALIPWA .
Kama alivyojifunza Jiwe na Sabaya🤣🤣🤣Kesi ni kesi tu hakuna ya uwongo Wala ya ukweli mpaka Mahakama itakapotoa hukumu.
Huyo muache tu akae huko, nchi iko salama bila kelele zake. Na akitoka atakuwa kajifunza kitu