Huenda ni Mgeni kwenye Jukwaa hili.Chief_Mkwawa ni Mtu Muhimu saana Kwenye Jukwaa hili.
Katuvusha Mambo Mengi Mno humu Mmoja mmoja na kwa Ujumla.
Inapaswa amuombe Msamaha kwa kweli.
We mleta mada mbona huna adabu?
Umekula maharage ya wapi wewe?
Una shida wa kukusaidia ndo umchukulia kama fala flani hivi?
Pole sana heshimu kila mtu unamfaham haumfahamu fanya likupasalo