Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,569
- Thread starter
-
- #21
24 Months Contract means ni mkataba unaoingia kati ya Wewe (Mteja) na vodacom (kampuni). Mkataba huo unakuwa wa miaka 2 ambapo wakija kukufungia huduma ya free Wi-Fi installation eg. 5G Mkataba wako utadumu kwa miaka miwili kwasababu hiyo installation unafungiwa free ili kuensure commitment ya mteja, na baada ya miaka miwili unaweza kurenew contract au ukaacha kuitumia generally. Kuhusu malipo ni kama ilivyo kila months utakuwa unalipia na kupata huduma yako baada ya miaka miwili (24 months) utachagua mteja kuendelea au kutoendelea kutokana na mkataba na kampuni as usual. That is means of "24 months".Na mimi natamani kujua hili.
Installation services, survey, Wewe utalipia 2 months ya kwanza ya kuanza huduma kisha utaendelea as usual na hudumaHuo u FREE mbona siuoni?
5G are availableAttention
Huduma ya free Wi-Fi installation bado IPO kwaajiri ya matumizi ya ofisini au nyumbani kwa mtandao wenye super kasi WA vodacom. Huduma zikiwemo free antenna, free wireless router, free surveying, speed ya internet mb 20 per second kwa 115,000/= na mb 30 per second kwa 165,000/= unlimited bundle monthly bases contract to be paid in vodacom bank account or Lin v account na inapatikana mahali popote ulipo.
For more info hit my pm.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Jinsi ya kujiunga Nakutumia fomu unaijaza kisha unanitumia ile fomu ili niwatumie maengineer kwaajiri ya kuangalia access ya mtandao WA voda nyumbani au ofisini kwakoNaomba maelekezi jinsi ya kujiunga kaka
Call /text me via +255656946198Jinsi ya kujiunga Nakutumia fomu unaijaza kisha unanitumia ile fomu ili niwatumie maengineer kwaajiri ya kuangalia access ya mtandao WA voda nyumbani au ofisini kwako
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Karibu ndugu yangu check me by call or text me via +255656946198Boss.
Nataka hiyo huduma. Nipo Dar.
Naona ni bei fair kabisa ukizingatia data usage ni unlimited. Kwa maofisini ambapo data inatumika sana hii bei ni ya kawaida kabisa.Nafikiri Internet iangaliwe upya. ..hio 115k nimshahara wa mtu...maisha yamekua magumu mno
Bei hiyo no fair sana, huduma ni bora na kwa wansotumia wanaelewa profit yake ndio maana wanachukua, profit oriented person anaitumia fursa vzr sana na inalipa mno ndugu,Nafikiri Internet iangaliwe upya. ..hio 115k nimshahara wa mtu...maisha yamekua magumu mno
Naunga mkono hoja na wapo wengi wanaotumia kwa mtindo huu, kwa bahati nzuri umewakumbusha kitu cha msingi sanaNaona ni bei fair kabisa ukizingatia data usage ni unlimited. Kwa maofisini ambapo data inatumika sana hii bei ni ya kawaida kabisa.
Na pia wenye magesti hawajajua tu hii kitu unaweza kuinstall kwenye gesti yako ili kuvutia wateja.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
*Ni fairBei hiyo no fair sana, huduma ni bora na kwa wansotumia wanaelewa profit yake ndio maana wanachukua, profit oriented person anaitumia fursa vzr sana na inalipa mno ndugu,
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
*wanaelewa na inalipa mnoBei hiyo no fair sana, huduma ni bora na kwa wansotumia wanaelewa profit yake ndio maana wanachukua, profit oriented person anaitumia fursa vzr sana na inalipa mno ndugu,
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ndio maisha mkuu... kuna chupa za pombe zinauzwa 250K, afadhali internet unakaa mwezi mzima!Nafikiri Internet iangaliwe upya. ..hio 115k nimshahara wa mtu...maisha yamekua magumu mno
Attention
Huduma ya free Wi-Fi installation bado IPO kwaajiri ya matumizi ya ofisini au nyumbani kwa mtandao wenye super kasi WA vodacom. Huduma zikiwemo free antenna, free wireless router, free surveying, speed ya internet mb 20 per second kwa 115,000/= na mb 30 per second kwa 165,000/= unlimited bundle monthly bases contract to be paid in vodacom bank account or Lin v account na inapatikana mahali popote ulipo.
For more info hit my pm.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Iko hivi tuelewe hapo, installation unafanyiwa free, kwahiyo ukiwa unaanza contract kwa mwanzo utalipia 2 months kwaajiri ya kuensure commitment and security deposit ya mteja, baadae utaanza kulipia kila mweziBaada ya mwezi kuisha unalipa tena hiyo 115k au inakuaje baada ya huo mwezi wa free kuisha, vifurushi unanunuaje
mkuu hii 5G ni mikoa yote na wilaya zake ama ni maeneo ya mjini tu?
Lengo langu ni kujua how much rsh per monthIko hivi tuelewe hapo, installation unafanyiwa free, kwahiyo ukiwa unaanza contract kwa mwanzo utalipia 2 months kwaajiri ya kuensure commitment and security deposit ya mteja, baadae utaanza kulipia kila mwezi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app