Mr HEISENBERG
Senior Member
- Sep 6, 2017
- 149
- 133
KAMA KUNA MWENYE VPN NAOMBA ANITUMIE
Tumia openvpn ambayo ni bure kabisa ingia playstore na download opevpn connect halafu nenda web ya vpnbook na udownload openvpn files na huko huko utakuta username na password ya hiyo VPN serversKAMA KUNA MWENYE VPN NAOMBA ANITUMIE
Siyo, inaweza kubadilisha eneo la mtumiaji mfano wewe upo Tanzania inaonyesha uko marekani so incase kuna kitu ambacho kimekua blocked kwenye internet kisionekane/kufanya kazi Tanzania unatumia vpn kudisguise location ili ukitumie ukiwa Tz.VPN mkuu hii kitu ndo ile ya kusafu bure sio?
Kirefu chake ni Virtual Private Network hii ni aina ya network ambayo inafanya encryption ya ya taarifa ambazo unatuma kwenye net: hii inafanyika kwa kutumia tunneling ambapo taarifa zako za internet traffic zote zitafanyika kwenye hii network kwa maana kwamba utapata IP address ya hiyo VPN husika: kama VPN server IPO China basi IP ya device yako itakuwa ya huko ChinaMkuu hebu naombeni mnieleweshe vpn ni nini na matumizi yake ni nini haswa? Na nikitaka kuitumia naitumiaje
boss hii inaweza fanya kazi mpk kwenye pc?Tumia openvpn ambayo ni bure kabisa ingia playstore na download opevpn connect halafu nenda web ya vpnbook na udownload openvpn files na huko huko utakuta username na password ya hiyo VPN servers
Ndio kwenye PC yenye Windows: Linux; Mac kote inakubaliboss hii inaweza fanya kazi mpk kwenye pc?
shukrani mkuuNdio kwenye PC yenye Windows: Linux; Mac kote inakubali
nashkuru kwa maelezo yako mkuu, na je naweza kutumia vpn kuweza kupata access ya wifi ambayo iko secured ila sijui password?Kirefu chake ni Virtual Private Network hii ni aina ya network ambayo inafanya encryption ya ya taarifa ambazo unatuma kwenye net: hii inafanyika kwa kutumia tunneling ambapo taarifa zako za internet traffic zote zitafanyika kwenye hii network kwa maana kwamba utapata IP address ya hiyo VPN husika: kama VPN server IPO China basi IP ya device yako itakuwa ya huko China
VPN inasaidia sana kupata access ya web au content ambayo imeblockiwa kwenye nchi yako kwa sababu device yako itakuwa na IP ya nchi nyingine
Pia VPN inasaidia kukukinga na usecured WiFi kwa maana kwenye WiFi za aina hii MTU mwingine anaweza kuona info zako unazotuma
VPN hutumia SSL protocols kufanya ulinzi wa taarifa
Endapo Mtandao ukiwa na open ports utaweza kupata free net ila kwa sasa ni ngumu
Haiwezekeni mkuu ni ngumu sana kudukua WiFi labda iwe inatumia encryption ya WPA lakini unaweza kujaribu tools za Kali Linux : Kali Linux unaweza itumia pia kwenye androidnashkuru kwa maelezo yako mkuu, na je naweza kutumia vpn kuweza kupata access ya wifi ambayo iko secured ila sijui password?
KAMA KUNA MWENYE VPN NAOMBA ANITUMIE
KAMA KUNA MWENYE VPN NAOMBA ANITUMIE