Unajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Unajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Unajua haya makampuni ya simu yanatuibia sana pesa zetu... So si vibaya ukaweka ujuzi wa kupata hayo makitu kufidia pesa tukizoibiwa na tunazoibiwa na hayo makampuni ya simu
Sina hamu nahawa jamaa mwezi wa kwanza mwaka huu nimeibiwa 20,000/= ya tangazo kama hili jamaa aliweka tangazo kama hili nikamtafuta akasema tuma pesa nikupe Huduma nikatuma hiyo pesa hakupatikana tena hewani wakuu