Frederick Sumaye ajiuzulu Ujumbe wa Bodi ya CRDB

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Aliyekua Waziri Mkuu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Fedrick Sumaye ajiuzulu uujumbe wa bodi CRDB.

Sumaye,amejiuzulu ujumbe wa bodi ya Benki ya CRDB ili atekeleze zaidi majukumu yake ya kisiasa.

"Nina shughuli nyingi za kisiasa ambazo zitaninyima nafasi ya kuhudhuria vikao vya bodi.
Sipendi pia kuona CRDB ikihusishwa na msimamo wangu kisiasa. Hii ni taasisi huru ambayo ina wanahisa wengi ambao sitapenda kuona maslahi yao yakiingiliwa kutokana na siasa," amesema Sumaye.
 
Hahaha.. Bank yenyewe inagawa TSH 10/ Share ....... hata mimi ningefanya alivofanya Sumaye.....

In this hard life you gotta to go hard or go home....... uadilifu haina maana uzezeta!
BTW naona kuna harufu kubwa ya kuchafuana ndani yake... its okay to happen.. he had it all anyway.
 
Mtoa post kasahau kuweka wazi kuwa kwa kutumia Ujumbe wake wa Bodi alikuwa akilazimisha Kampuni zake zipewe tenda kwenye Benki hiyo.
 
Aliyekua Waziri Mkuu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Fedrick Sumaye ajiuzulu uujumbe wa bodi CRDB.

Sumaye,amejiuzulu ujumbe wa bodi ya Benki ya CRDB ili atekeleze zaidi majukumu yake ya kisiasa.

"Nina shughuli nyingi za kisiasa ambazo zitaninyima nafasi ya kuhudhuria vikao vya bodi.
Sipendi pia kuona CRDB ikihusishwa na msimamo wangu kisiasa. Hii ni taasisi huru ambayo ina wanahisa wengi ambao sitapenda kuona maslahi yao yakiingiliwa kutokana na siasa," amesema Sumaye.
Majukumu gani hayo ya Kisiasa? Kwa chama muflisi kama kile?
 
Back
Top Bottom