Hadi mdaa huu ajapata likes hata moja ikifika saa kumi atajinyongaKwani ni Zambi kuwekeza kwenye majengo ya CCM?
Huu wivu mkali sana mda sio mrefu utajinyonga.
Hadi mdaa huu ajapata likes hata moja ikifika saa kumi atajinyongaKwani ni Zambi kuwekeza kwenye majengo ya CCM?
Huu wivu mkali sana mda sio mrefu utajinyonga.
Wachaga na wakinga wanafaa kutoa maraisi hakika tutakuwa mbali sana.Mkuu habari za umbea hazifai
Hakuna sababu ya msingi uliyoitoa
Biashara ni za kwake Fred na hajaanza Leo biashara
Huyo ni mkinga, Mbona maduka yote kariakoo kwa sasa wanamiliki wakinga
Wakinga wa sasa ni tofauti, Hapo kati wakinga baada ya kuwa matajiri wamepeleka watoto wao shule wawasaidie
Hao akina Fred ni zao la wakinga wale wa zamani ambao walikuwa matajiri lakini hawakusoma
Wakinga wa kariakoo sasa ni kizazi kipya hata kama wanatumia uchawi lakini wapo vizuri kichwani
Fred ni mkinga na mfanyabiashara, Mbona huongelei ndugu zake pale kariakoo?
Tuendako wakinga nao wataingia Bungeni ku influence agenda zao za biashara
Ni muhimu wizara ya Afya ikasimamiwa na Dakatari wa afya
Ni muhimu kazi ya Fedha ikasimamiwa na mfanyabiashara
Tatizo zamani hiyo kazi walipachikwa watu wenye vyeti lakini hawajawahi hata kufanya biashara ya kuuza pipi kifua
Kama ni rahisi kwann usichukue na wweNgoja hela za manyau ziishe ataelewa tu.Wakinga wote Duniani wana hela za manyoka
Ni kama ule ukurugenzi wa Barbara Gonzalez wa Simba!
Tajiri mkinga?!Masiki ana roho mbaya sana yani kila jambo tajiri afanyalo kwake ni baya tu.
zambi ndio mdudu ganiKwani ni Zambi kuwekeza kwenye majengo ya CCM?
Huu wivu mkali sana mda sio mrefu utajinyonga.
Umeandika mengi ila hujaanisha bayanA ubaya wa uteuzi huu ...kitendo cha Mwenyekiti wa UVCCM Heri James Kumteua Fred Ngajilo maarufu kama Fred Vunjabei kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi na Fedha UVCCM ni kulipa fadhila baada ya kusaidiwa kumaliziwa ujenzi wa nyumba anayojenga huko Mwanza.
Fred Vunjabei ni mfanyabiashara janjajanja anayetafuta nafasi ya kufanya Biashara zake chafu Bila bugudha ndani ya CCM.
Mwandishi kaka yangu Ogaro Anduru Mungu Amrehemu aliwahi kuandika kijarida kilichoitwa "Mwanaharamu", ambacho kilizungumzia namna ambavyo nchi inatafunwa na wafanyabiashara Janjajanja akina Vunjabei
Fred anataka kujifunza umafia katikati ya Fisi wenye njaa UVCCM ya Heri James kwa leo mimi namtazama Fred kuwa kuwa ni kiini cha uporaji mkubwa wa rasilimali za nchi unaotaka kufanyika kupitia kivuli cha UVCCM.
Fred ni mbunifu mkuu na nahodha wa mikakati ya biashara nyingi haramu chini ya mwamvuli wa Vunjabei Group of Company.
Baada ya kufanikisha mipango mingi ya kuchukua tenda ya Jezi kwa timu ya Simba sasa anaitaka UVCCM katika jaribio jingine la kumiliki sehemu ya Chama.
Wameshindwa kuikamata Serikali, ya Mama Samia Suluhu ambayo kwasasa haitabiriki baada ya Mama kuvunja Idara nyingi za mifumo ya Usalama sasa wanataka kutumia fursa ya UVCCM kukamata Vijana na baadae Chama kwa Ujumla.
KWANINI UVCCM
- UVCCM ni sehemu ya Idara ya Jumuiya ya chama cha Mapinduzi yenye idadi kubwa ya Wanachama Na sehemu ya wajumbe wake ambaye ni mwenyeweketi ni mjumbe wa kamati kuu. Kazi ya UVCCM ni kutoa ushauri kwa serikali na kuisimamia Serikali kutekeleza mipango yake ya maendeleo, ukiwa na UVCCM hasi yenye njama baina ya Mwenyekiti na Wajumbe kadhaa, watakuwa na nafasi kubwa na ya kipekee ya kuhujumu utendaji wa serikali.
-Nguvu ya Kimamlaka ambayo
Mwenyekiti wa UVCCM anayo kulingana na Katiba ya chama … Mwenyekiti ni mtu ambaye anaingia kwenye Mikutano mikubwa ya chama hasa katika Kamati kuu ya CCM. Ukiwa na Mwenyekiti aina ya Heri James ambaye amekuwa akijinadi ni Magufuli Forever na watu wanaoingia vikao nyeti vya kujadili ‘’Siri kuu ya Chama’’ wasipokuwa watiifu ni hatari kwa Uhai wa chama.
MAHUSIANO YA HERI JAMES NA FRED NGAJILO (FRED VUNJABEI).
Kwa lugha ya kawaida, wawili hawa ni familia, ni ndugu walio na mahaba ya ndani kabisa baina yao. Undugu wao una historia ndefu, lakini kwa ufupi wake tuanzie katika kile kilichoitwa “MTANDAO” Uenyekiti wa Heri James UVCCM 2017 uliratibiwa na mtandao chini ya ufadhili wa Fred Vunjabei.
Fred Vunjabei amepiga hesabu kwenye Jengo la UVCCM Tower Na majengo mengi ambayo ataweza kufanya uwekezaji bila tabu maana akipoulizwa Heri James Kwanini Fred Vunjabei aliwajibu Wajumbe kuwa Chama kinahitaji mtu madhubuti katika nafasi ile je ni Fred mwenye nguvu hiyo ya kulinda mali za UVCCM ama kuzitafuna mali za UVCCM.
-•CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. CCM ilifanya makosa mengi huko nyuma kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA.
Ni kosa kwa Chama kuruhusu vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani ya Chama hicho.
Zaidi, soma:
Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa
Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna ---- Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa...www.jamiiforums.com
Aiseeee !!!!kitendo cha Mwenyekiti wa UVCCM Heri James Kumteua Fred Ngajilo maarufu kama Fred Vunjabei kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi na Fedha UVCCM ni kulipa fadhila baada ya kusaidiwa kumaliziwa ujenzi wa nyumba anayojenga huko Mwanza.
Fred Vunjabei ni mfanyabiashara janjajanja anayetafuta nafasi ya kufanya Biashara zake chafu Bila bugudha ndani ya CCM.
Mwandishi kaka yangu Ogaro Anduru Mungu Amrehemu aliwahi kuandika kijarida kilichoitwa "Mwanaharamu", ambacho kilizungumzia namna ambavyo nchi inatafunwa na wafanyabiashara Janjajanja akina Vunjabei
Fred anataka kujifunza umafia katikati ya Fisi wenye njaa UVCCM ya Heri James kwa leo mimi namtazama Fred kuwa kuwa ni kiini cha uporaji mkubwa wa rasilimali za nchi unaotaka kufanyika kupitia kivuli cha UVCCM.
Fred ni mbunifu mkuu na nahodha wa mikakati ya biashara nyingi haramu chini ya mwamvuli wa Vunjabei Group of Company.
Baada ya kufanikisha mipango mingi ya kuchukua tenda ya Jezi kwa timu ya Simba sasa anaitaka UVCCM katika jaribio jingine la kumiliki sehemu ya Chama.
Wameshindwa kuikamata Serikali, ya Mama Samia Suluhu ambayo kwasasa haitabiriki baada ya Mama kuvunja Idara nyingi za mifumo ya Usalama sasa wanataka kutumia fursa ya UVCCM kukamata Vijana na baadae Chama kwa Ujumla.
KWANINI UVCCM
- UVCCM ni sehemu ya Idara ya Jumuiya ya chama cha Mapinduzi yenye idadi kubwa ya Wanachama Na sehemu ya wajumbe wake ambaye ni mwenyeweketi ni mjumbe wa kamati kuu. Kazi ya UVCCM ni kutoa ushauri kwa serikali na kuisimamia Serikali kutekeleza mipango yake ya maendeleo, ukiwa na UVCCM hasi yenye njama baina ya Mwenyekiti na Wajumbe kadhaa, watakuwa na nafasi kubwa na ya kipekee ya kuhujumu utendaji wa serikali.
-Nguvu ya Kimamlaka ambayo
Mwenyekiti wa UVCCM anayo kulingana na Katiba ya chama … Mwenyekiti ni mtu ambaye anaingia kwenye Mikutano mikubwa ya chama hasa katika Kamati kuu ya CCM. Ukiwa na Mwenyekiti aina ya Heri James ambaye amekuwa akijinadi ni Magufuli Forever na watu wanaoingia vikao nyeti vya kujadili ‘’Siri kuu ya Chama’’ wasipokuwa watiifu ni hatari kwa Uhai wa chama.
MAHUSIANO YA HERI JAMES NA FRED NGAJILO (FRED VUNJABEI).
Kwa lugha ya kawaida, wawili hawa ni familia, ni ndugu walio na mahaba ya ndani kabisa baina yao. Undugu wao una historia ndefu, lakini kwa ufupi wake tuanzie katika kile kilichoitwa “MTANDAO” Uenyekiti wa Heri James UVCCM 2017 uliratibiwa na mtandao chini ya ufadhili wa Fred Vunjabei.
Fred Vunjabei amepiga hesabu kwenye Jengo la UVCCM Tower Na majengo mengi ambayo ataweza kufanya uwekezaji bila tabu maana akipoulizwa Heri James Kwanini Fred Vunjabei aliwajibu Wajumbe kuwa Chama kinahitaji mtu madhubuti katika nafasi ile je ni Fred mwenye nguvu hiyo ya kulinda mali za UVCCM ama kuzitafuna mali za UVCCM.
-•CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. CCM ilifanya makosa mengi huko nyuma kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA.
Ni kosa kwa Chama kuruhusu vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani ya Chama hicho.
Zaidi, soma:
Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa
Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna ---- Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa...www.jamiiforums.com
Tuhuma zip?Bado nawaza huyu Shaka aliteuliwa kivipi! Pamoja na zile "tetesi" zoote mama kaziba masikio akamteua.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwanza Kisaikolojia tu unaonekana ni Mshabiki wa Yanga SC hivyo una Chuki na Fred Ngajiro ( Vunjabei ) kwakuwa ni mwana Simba SC na kaingia nao Mkataba wa Kutengeneza Club Merchandises.kitendo cha Mwenyekiti wa UVCCM Heri James Kumteua Fred Ngajilo maarufu kama Fred Vunjabei kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi na Fedha UVCCM ni kulipa fadhila baada ya kusaidiwa kumaliziwa ujenzi wa nyumba anayojenga huko Mwanza.
Fred Vunjabei ni mfanyabiashara janjajanja anayetafuta nafasi ya kufanya Biashara zake chafu Bila bugudha ndani ya CCM.
Mwandishi kaka yangu Ogaro Anduru Mungu Amrehemu aliwahi kuandika kijarida kilichoitwa "Mwanaharamu", ambacho kilizungumzia namna ambavyo nchi inatafunwa na wafanyabiashara Janjajanja akina Vunjabei
Fred anataka kujifunza umafia katikati ya Fisi wenye njaa UVCCM ya Heri James kwa leo mimi namtazama Fred kuwa kuwa ni kiini cha uporaji mkubwa wa rasilimali za nchi unaotaka kufanyika kupitia kivuli cha UVCCM.
Fred ni mbunifu mkuu na nahodha wa mikakati ya biashara nyingi haramu chini ya mwamvuli wa Vunjabei Group of Company.
Baada ya kufanikisha mipango mingi ya kuchukua tenda ya Jezi kwa timu ya Simba sasa anaitaka UVCCM katika jaribio jingine la kumiliki sehemu ya Chama.
Wameshindwa kuikamata Serikali, ya Mama Samia Suluhu ambayo kwasasa haitabiriki baada ya Mama kuvunja Idara nyingi za mifumo ya Usalama sasa wanataka kutumia fursa ya UVCCM kukamata Vijana na baadae Chama kwa Ujumla.
KWANINI UVCCM
- UVCCM ni sehemu ya Idara ya Jumuiya ya chama cha Mapinduzi yenye idadi kubwa ya Wanachama Na sehemu ya wajumbe wake ambaye ni mwenyeweketi ni mjumbe wa kamati kuu. Kazi ya UVCCM ni kutoa ushauri kwa serikali na kuisimamia Serikali kutekeleza mipango yake ya maendeleo, ukiwa na UVCCM hasi yenye njama baina ya Mwenyekiti na Wajumbe kadhaa, watakuwa na nafasi kubwa na ya kipekee ya kuhujumu utendaji wa serikali.
-Nguvu ya Kimamlaka ambayo
Mwenyekiti wa UVCCM anayo kulingana na Katiba ya chama … Mwenyekiti ni mtu ambaye anaingia kwenye Mikutano mikubwa ya chama hasa katika Kamati kuu ya CCM. Ukiwa na Mwenyekiti aina ya Heri James ambaye amekuwa akijinadi ni Magufuli Forever na watu wanaoingia vikao nyeti vya kujadili ‘’Siri kuu ya Chama’’ wasipokuwa watiifu ni hatari kwa Uhai wa chama.
MAHUSIANO YA HERI JAMES NA FRED NGAJILO (FRED VUNJABEI).
Kwa lugha ya kawaida, wawili hawa ni familia, ni ndugu walio na mahaba ya ndani kabisa baina yao. Undugu wao una historia ndefu, lakini kwa ufupi wake tuanzie katika kile kilichoitwa “MTANDAO” Uenyekiti wa Heri James UVCCM 2017 uliratibiwa na mtandao chini ya ufadhili wa Fred Vunjabei.
Fred Vunjabei amepiga hesabu kwenye Jengo la UVCCM Tower Na majengo mengi ambayo ataweza kufanya uwekezaji bila tabu maana akipoulizwa Heri James Kwanini Fred Vunjabei aliwajibu Wajumbe kuwa Chama kinahitaji mtu madhubuti katika nafasi ile je ni Fred mwenye nguvu hiyo ya kulinda mali za UVCCM ama kuzitafuna mali za UVCCM.
-•CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. CCM ilifanya makosa mengi huko nyuma kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA.
Ni kosa kwa Chama kuruhusu vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani ya Chama hicho.
Zaidi, soma:
Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa
Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna ---- Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa...www.jamiiforums.com
Ujumbe si umekupata hapo ulipo?. Mi likes hata siangaliagi ila umefanya nikaangalie tena nikakuta likes kibao.Hadi mdaa huu ajapata likes hata moja ikifika saa kumi atajinyonga
Muosha, UoshwaNasubiri kudukuliwa kwa sauti za Polepole na Bashiru wakimteta mama anairudisha CCM kwa wafanyabiashara na wao kuitwa kamati kuu kujieleza walikuwa na maana gani.
Ama kweli maisha mzunguko.