Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

Fred Mpendazoe kugombea ubunge Kishapu

Mjomba Mkude

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
287
Reaction score
119
Kwa mujimu wa ukurasa wake wa Instagram Fred Mpendazoe ametangaza kurudisha majeshi huko Kishapu.Hivyo atapeperusha bendera ya CHADEMA chini ya UKAWA.
 
Huyu mzee atahangaika sana, wana-kishapu wahamwamini tena kwa kitendo chake cha kuwasaliti
 
Safi sana. Sina wasiwasi na uwezo wake. Nalitazama jimbo la kishapu kama moja kati ya majimbo ambayo tayari yapo chini ya UKAWA chini ya Mpendazoe.
 
Werawera jembee hilo jembe mwezi october lazima tulione mjengoni √√
 
Ni kweli Mpendazoe ni jembe msaliti ni mzee wa viwango na kasi aliyemtosa mwenzake na ccj. Karibu sana Kishapu mheshimiwa. Jimbo liko wazi. It is here for the taking.
 
Mpendazoe ni jembe, napenda sana awepo bungeni
 
Kwa mujimu wa ukurasa wake wa Instagram Fred Mpendazoe ametangaza kurudisha majeshi huko Kishapu.Hivyo atapeperusha bendera ya CHADEMA chini ya UKAWA.
Siasa za Ukawa ngojeni kwanza. Kuna mambo muhimu yanaendelea chama tawala
 
Sasa anajuta kwanini aliwaacha wana KISHAPU, na kuamua kujiunga na wahuni.
Ubunge atausikia tu, Sidhani kama wana KISHAPU wanataka Mbunge Kigeugeu kama yeye!
 
Back
Top Bottom