PreGE2025 Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)

PreGE2025 Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Kiongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Muhalila amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29, 2025 na Katibu wa chama hicho, Wilaya ya Muleba, Agness Kasela.
1751183645827.png

Source: Mwananchi
 
Back
Top Bottom