Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Kiongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Muhalila amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29, 2025 na Katibu wa chama hicho, Wilaya ya Muleba, Agness Kasela.
Source: Mwananchi
Muhalila amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29, 2025 na Katibu wa chama hicho, Wilaya ya Muleba, Agness Kasela.
Source: Mwananchi