SHEMEJI UNATUACHAJE
Member
- May 7, 2015
- 22
- 4
Simple. Serikali ishafanya jitihada za my decentralize uchumi na njia za uchumi.
In addition tuna kitu kinaitwa TAMISEMI sasa watu wa mikoa kama mwanza Iringa Pwani etc na wilaya zao wanaweza kutengeneza ba kutafuta economic and development partners na plans zao za kujikwamua without inteference from central govt na majitu mafisadi ya Dar.
Imagine kila wilaya inakuwa na uwezo wa kupanga mipango ya ukusanyaji revenues na kupanga matumizi bila kuingiliwa na mafisadi wa central govt pale magogoni....
Nadhani tutakuwa mbali zaidi tukiacha kutegemea national agencies like Tanzania investment Centre alone kupeleka investors wilayani na mikoani peke yao. Kila wilaya iwe na chamber of commerce na investment Centre yake na Lazima Kuwepo kwa independent oversight bodies kuhakikisha checks and balances.
Kuhusu major infrastructure projects muhim kuhakikisha 45%ya procurement na employment na sub contractors wanakuwa procured locally ili pesa zibaki kwenye local economy. Pia kila revenue inayopatikana from local economic activity Walau 50% ibaki locally.
Waingereza wanaita hii jury devolution Max.
Lakini tukiendelea kutegemea yale mafisadi ya Dar kutufanyia kila kitu tutaendelea kuwa maskini
In addition tuna kitu kinaitwa TAMISEMI sasa watu wa mikoa kama mwanza Iringa Pwani etc na wilaya zao wanaweza kutengeneza ba kutafuta economic and development partners na plans zao za kujikwamua without inteference from central govt na majitu mafisadi ya Dar.
Imagine kila wilaya inakuwa na uwezo wa kupanga mipango ya ukusanyaji revenues na kupanga matumizi bila kuingiliwa na mafisadi wa central govt pale magogoni....
Nadhani tutakuwa mbali zaidi tukiacha kutegemea national agencies like Tanzania investment Centre alone kupeleka investors wilayani na mikoani peke yao. Kila wilaya iwe na chamber of commerce na investment Centre yake na Lazima Kuwepo kwa independent oversight bodies kuhakikisha checks and balances.
Kuhusu major infrastructure projects muhim kuhakikisha 45%ya procurement na employment na sub contractors wanakuwa procured locally ili pesa zibaki kwenye local economy. Pia kila revenue inayopatikana from local economic activity Walau 50% ibaki locally.
Waingereza wanaita hii jury devolution Max.
Lakini tukiendelea kutegemea yale mafisadi ya Dar kutufanyia kila kitu tutaendelea kuwa maskini