Form five selection zinatoka lini?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,162
Reaction score
96,234
Lini majina yatatoka kwa shule za serikali! ? Kuna shule private zilifungua mwezi wa tatu! Kayumba tutangazie tutafute ada na mahitaji mengine mapema.
 
Watoe tu mana wengine wapo class tangu mwez march
Pole ndyo ukakazane watoto wako wasije teseka kama ww... Ila unaweza ukakaza na kuwapita hata hao walioko shule toka mwez March na ndio mana hata feza Kuna two na three
 
hakuna selection ya mwez wa saba acha kutuzingua
Ww dogo acha ubishi

Hakuna selection mwezi wa tano selection zote zinatoka mwezi wa saba na mashule yenu ya kimaskini ndio yanafunguliwa mwezi huo.
 
Ww dogo acha ubishi

Hakuna selection mwezi wa tano selection zote zinatoka mwezi wa saba na mashule yenu ya kimaskini ndio yanafunguliwa mwezi huo.
mwaka jana zilitoka mwez wa tano mwishoni af ww una post pumba zk hapa!!!!
 
zikitoka mwez wa saba unadhani wazazi watawaandaliaje watoto wao matumizi!!!? au unadhania na kule ni elimu bure!!!?
 
Selection mwezi wa saba madogo komaeni na tuisheni zitawatoa
Cabin katika tuition madogo andaen kichwa vizur punguza mzgo icyo lazima uliohifadhi unaweza kwenda tuition afu ukawa unapoteza mda tu
 
Ww dogo acha ubishi

Hakuna selection mwezi wa tano selection zote zinatoka mwezi wa saba na mashule yenu ya kimaskini ndio yanafunguliwa mwezi huo.
Ww ndo muongo mwaka jana zlitoka tareh 24 mwez wa cta mwaka huu ztawah kwakua hata matakeo ya mewah bhas hata post ztawahi
 
Ww ndo muongo mwaka jana zlitoka tareh 24 mwez wa cta mwaka huu ztawah kwakua hata matakeo ya mewah bhas hata post ztawahi
mwaka huu lazima ziwahi sababu washatoa result slip!!! xx huyu jamaa sijui mkenya huyu!!
 
Ww ndo muongo mwaka jana zlitoka tareh 24 mwez wa cta mwaka huu ztawah kwakua hata matakeo ya mewah bhas hata post ztawahi
sasa hiyo tar 24 june ww huoni kama ni mwezi wa saba tu huo?

Halafu endeleeni kujidanganya hivyo hivyo ,,,,,syllabus inasema chuoni masomo yanaanza july sasa ww na wapuuzi wenzako endeleeni kujidanganya
 
mwaka huu lazima ziwahi sababu washatoa result slip!!! xx huyu jamaa sijui mkenya huyu!!
haya dogo endelea kujipa moyo ,,,mwenyewe na hicho kidivision 3 yako unajiona unajuaa ,,,,bwana mdogo hiyo level wenzako tulikuwa tangu 2010 ss usibishane na kaka zako.
 
haya dogo endelea kujipa moyo ,,,mwenyewe na hicho kidivision 3 yako unajiona unajuaa ,,,,bwana mdogo hiyo level wenzako tulikuwa tangu 2010 ss usibishane na kaka zako.
mkuu inaonekana ulipata div 3!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…