comesucces
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 160
- 105
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule mwenye kundi la whstsapp la forex trading naomba aniunganishe ili nijifunze zaidi na nizidi kuwekeza