Forex inafaida nimeshuhudia mwenyewe

47f2623983b0bac59ef53c1f65496822.jpg
collecting some pips before the market is closed
Hey tuchat Pm mzee
 
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule mwenye kundi la whstsapp la forex trading naomba aniunganishe ili nijifunze zaidi na nizidi kuwekeza
Naomba tuchat Pm
 
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule mwenye kundi la whstsapp la forex trading naomba aniunganishe ili nijifunze zaidi na nizidi kuwekeza
Hongera sana. Endelea tu kufaidika, sisi pia tunafaidika kwenye biashara zetu zingine. Kila mtuapambane nahuko aliko
 
Back
Top Bottom