comesucces
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 160
- 105
- Thread starter
- #21
, wakujifanya wajanja endeleeni
Basi kaa na hio faida yako moyoni,usiilete JFMi mniache hujarazimishwa kwanza hata sijakuomba mimi ndo nimeona faida
Hey tuchat Pm mzeecollecting some pips before the market is closed
Naomba tuchat PmHelloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule mwenye kundi la whstsapp la forex trading naomba aniunganishe ili nijifunze zaidi na nizidi kuwekeza
Hongera sana. Endelea tu kufaidika, sisi pia tunafaidika kwenye biashara zetu zingine. Kila mtuapambane nahuko alikoHelloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa ssbsbu juzi nilijaribu kiwekeza tsh 60000 lakini leo nimepata faida ya tsh 42000 nitadumu ila kwa yule mwenye kundi la whstsapp la forex trading naomba aniunganishe ili nijifunze zaidi na nizidi kuwekeza