Foreign Currency Transaction in Tanzania

Parachichi

JF-Expert Member
Jul 22, 2008
510
102
Wakuu habari za majukumu!

Eee bwana nipo hapa bongo sasa kila kukicha nikiangalia kwenye mabango ya Bureau De Change nakuta shilingi yetu inaporomoka !hivi tatizo haswa ni nini?

Kwa mfano jana baadhi ya bureau shiling ilikua inauzwa 1385/1 usd,

Ila kwa leo goma letu limezidi kubomoka inauzwa 1396/1USD

na hii trend ilianza mda kwa hiyo kwa mwendo huu ikifika october 2010 itakua inauzwa Tshs 2000/1USD.

Tatizo ni nini haswa???naomba mwenye ufahamu zaidi atupe shule na pia mwenye ufahamu wa jinsi ya ku correct hii kitu amwage hapa najua wakuu wa mjengoni huwa wanatembelea sana JF so wanaweza kupata desa humu likaisaidia nchi.

Nawasilisha
 
Kilichopo hapa ni kuongezeka kwa mahitaji ya dollar, hakuna ambacho watanzania wanauza nje ili kupata dollar, ila tunahitaji dollar zaidi kwenda kununua mahitaji yetu nje ya nchi kama vile china, dubai, japan n.k.Kumbuka vile vile mwisho wa mwaka kiserikali unakalibia, hivyo watu wanafanya Importation zaidi ili wasije bumbwa na mabadiliko katika kodi kama yatatoke baada ya Government Budget. Tungekuwa tuna viwanda na mahitaji yetu yakapatikana hapa shilingi yetu ingekuwa stable. Vile kama mauzo yetu ya gold yangefanjwa hapa hapa tanzania chini ya usimamizi wa kampuni au BOT, basi shiling yetu ingekuwa stable pia............... wenye mawazo zaidi karibuni
 
Wakuu habari za majukumu!

Eee bwana nipo hapa bongo sasa kila kukicha nikiangalia kwenye mabango ya Bureau De Change nakuta shilingi yetu inaporomoka !hivi tatizo haswa ni nini?

Kwa mfano jana baadhi ya bureau shiling ilikua inauzwa 1385/1 usd,

Ila kwa leo goma letu limezidi kubomoka inauzwa 1396/1USD

na hii trend ilianza mda kwa hiyo kwa mwendo huu ikifika october 2010 itakua inauzwa Tshs 2000/1USD.

Tatizo ni nini haswa???naomba mwenye ufahamu zaidi atupe shule na pia mwenye ufahamu wa jinsi ya ku correct hii kitu amwage hapa najua wakuu wa mjengoni huwa wanatembelea sana JF so wanaweza kupata desa humu likaisaidia nchi.

Nawasilisha

Jana nilipita kwenye Bureau de Change moja pale Mkapa House, nikakuta selling price ya Dollar ni Tshs. 1,418 na Buying Price ni 1,405.... Hali ni mbaya sana kwa kweli. Ni vizuri wataalamu wa Uchumi wakaliangalia hili kwa haraka sana, na kuona jinsi ya kulitafutia ufumbuzi..... Maana mabadiliko haya ni ndani ya wiki mbili zilizopita tuuu.....
 
Back
Top Bottom