Forbes: Top 10 Richest Men in Tanzania for October, 2018.

Ndio kimsingi moo anazidiwa mbali sana na bakhresa
 
2nafanya kazi kwa ajili ya pesa lakini matajiri wanapesa zinazofanya kazi badala yao! by robert kiyosaki
 
Hao Forbes naona km hawana ripoti za bakhresa vizuri. Kuna sehem nlipita pita uko nkaona bakhresa ana km $10.6 billion.in short hata uyo moo hawez mfikia bakhresa.
Sawa ulipitapita na mimi nilipitapita huko sehemu nikaona MO anautajiri wa Dollar Billion 500
 

Mungu tuepushe na ignorance!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…