Punainen
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,303
- 1,056
Huyo mwandishi angetumia muda kwanza ajifunze, aelewe na akubaliane na maana sahihi ya neno worship.
Eneo la mashariki ya kati lina historia ya vita karne zote, kudanganya watu kuwa wapalestina walikuwa hawana uzoefu na vita ni vichekesho.
Katika hiyohiyo BIBLIA anayoinukuu, baada ya mfalme Sauli kumkosea MUNGU, MUNGU alimkataa dhahiri na kumchagua Daudi awe mfalme. Lakini Daudi alisema nini alipopata nafasi ya kumdhuru Sauli?.....'usimdhuru wala usimnyooshee mkono MASIHI wa BWANA.'
Huwa inashangaza sana pale watu wasioiamini wala kuikubali BIBLIA wanapojifanya kukopi vifungu viwili vitatu na kujaribu kueneza matakwa yao maovu.
Mahusiano ya MUNGU na wateule wake iwe wameanguka au la yameelezewa kwa uwazi mno katika BIBLIA kiasi kuwa kujaribu kuleta matakwa ya giza katika hilo ni kujisumbua bure.
Eneo la mashariki ya kati lina historia ya vita karne zote, kudanganya watu kuwa wapalestina walikuwa hawana uzoefu na vita ni vichekesho.
Katika hiyohiyo BIBLIA anayoinukuu, baada ya mfalme Sauli kumkosea MUNGU, MUNGU alimkataa dhahiri na kumchagua Daudi awe mfalme. Lakini Daudi alisema nini alipopata nafasi ya kumdhuru Sauli?.....'usimdhuru wala usimnyooshee mkono MASIHI wa BWANA.'
Huwa inashangaza sana pale watu wasioiamini wala kuikubali BIBLIA wanapojifanya kukopi vifungu viwili vitatu na kujaribu kueneza matakwa yao maovu.
Mahusiano ya MUNGU na wateule wake iwe wameanguka au la yameelezewa kwa uwazi mno katika BIBLIA kiasi kuwa kujaribu kuleta matakwa ya giza katika hilo ni kujisumbua bure.