For the first time to like this

Isantondo

Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
25
Reaction score
4
Kwa mara ya kwanza kuvutiwa na kipima joto from ITV ni leo.
Watu waliotoa maoni ya kipimajoto "je wananchi kuwapiga wabunge wao mawe, ni suluhisho la matatizo yao?" 71% wamesema NDIYO. Sasa nimeanza kuamini kuwa watanzania tuko macho!
 
Tandika, chapa saaaana wataacha kutudanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…