For sale Tsh.220000 only

deogan

JF-Expert Member
Sep 7, 2011
399
46
9300.jpg
blackberry 9300, good condition
 
Da hiyo sim yangu niliibiwa uwanja wa taifa siku wanacheza Yanga na Azam fiinal kagame cup.....please msinunue nina RB ya hiyo sim.
 
Da hiyo sim yangu niliibiwa uwanja wa taifa siku wanacheza Yanga na Azam fiinal kagame cup.....please msinunue nina RB ya hiyo sim.

Wewe una RB!!mwenzio ana hadi chaja na betri yake,risiti yake tu ndiyo alimuuzia yule jamaa aliyeiba simu yako.
 
Da hiyo sim yangu niliibiwa uwanja wa taifa siku wanacheza Yanga na Azam fiinal kagame cup.....please msinunue nina RB ya hiyo sim.

Baki na Rb yako, mnunuzi anakwenda kui flash na kuendelea na maisha km kawa
 

Baki na Rb yako, mnunuzi anakwenda kui flash na kuendelea na maisha km kawa

Anaye uza na atakaye nunua wote ni wezi.....lazima niwakamate........hiyo ni blackberry hata ukiflash personal info zitabaki tu....sasa wewe ole wako!
 
Anaye uza na atakaye nunua wote ni wezi.....lazima niwakamate........hiyo ni blackberry hata ukiflash personal info zitabaki tu....sasa wewe ole wako!

Siyo kosa lako, kutokuwa na uwezo wa kununua pia kunachangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom