Chakorii panakufaa hapa..Kizuri kula na mwenzio baada ya kufahamu jinsi ya kuweka link kwenye uzi wowote nimeona si vibaya nikishare na wenzangu msiofahamu nanyi mpate ujuzi na ujanja
Nenda kwenye page husika au thread unayotaka kucopy link yake kupeleka sehemu nyingine
Click mwanzon mwa makala husika,yatatokea manenoView attachment 518265 click neno copy page url kisha nenda kwenye thread husika click mara moja yatatokea manenoView attachment 518271 chagua neno Paste
Unakua tayari ushaweka link kisha post kama comment au uzi
mfano nimegoogle Jamii forums nikapata page yake wikipedia
View attachment 518264
JamiiForums - Wikipedia
Ruksa kujaribu na kujifunza hapa au kuongezea ujuzi mwingine mwepesi zaidi wa kuweka link
Mkuu umetumia cm au computer?
Hii itakuwa kwa computer,sio simu.Kizuri kula na mwenzio baada ya kufahamu jinsi ya kuweka link kwenye uzi wowote nimeona si vibaya nikishare na wenzangu msiofahamu nanyi mpate ujuzi na ujanja
Nenda kwenye page husika au thread unayotaka kucopy link yake kupeleka sehemu nyingine
Click mwanzon mwa makala husika,yatatokea manenoView attachment 518265 click neno copy page url kisha nenda kwenye thread husika click mara moja yatatokea manenoView attachment 518271 chagua neno Paste
Unakua tayari ushaweka link kisha post kama comment au uzi
mfano nimegoogle Jamii forums nikapata page yake wikipedia
View attachment 518264
JamiiForums - Wikipedia
Ruksa kujaribu na kujifunza hapa au kuongezea ujuzi mwingine mwepesi zaidi wa kuweka link
Sijaelewa mkuu, sion sehem ya kukopi hyo Url
Natumia simu
Hii itakuwa kwa computer,sio simu.