Food For thought: Kwanini Watu Sasa wanazikwa Usiku, tena na vyombo vya Serikali?

Na wanaokubali kuwazika wenzao usiku ni watz wenzetu ambao tunaishi nao mitaani?

Kwa akili ya kawaida, unaanzaje kutoa wazo la kishetani kufanyia mambo gizani?

Ni nani huyo aliyetoa wazo chafu hili?

Ni nani yuko nyuma ya mpango wa kishetani wa kuzika wapendwa watanzania usiku watu wakiwa wamelala?

Huyo mtu anaweza wekwa hadharani tumjue?
Huyo mtu hawekeki hadharani. hata wewe ukimjua huwezi kuthubutu kumweka hadharani. Kwani hujipendi? Aliyesema hataki kusikia habari za vifo bali waliopona could be the one.
 
Aisee nimeona video ya kijana mdogo akikata roho kwa covid mpaka nimesisimka
 
Ni zaidi ya kusambaa; ni pia kuuwa kwa watu wengi katika muda mfupi
Yaani wewe hujui kinachoendelea kabisa duniani.Hebu jifunze zaidi kwa kusoma taarifa ifuatayo.

"Of the 56.9 million deaths worldwide in 2016, more than half (54%) were due to the top 10 causes. Ischaemic heart disease and stroke are the world’s biggest killers, accounting for a combined 15.2 million deaths in 2016. These diseases have remained the leading causes of death globally in the last 15 years.
Chronic obstructive pulmonary disease claimed 3.0 million lives in 2016, while lung cancer (along with trachea and bronchus cancers) caused 1.7 million deaths. Diabetes killed 1.6 million people in 2016, up from less than 1 million in 2000. Deaths due to dementias more than doubled between 2000 and 2016, making it the 5th leading cause of global deaths in 2016 compared to 14th in 2000.

Lower respiratory infections remained the most deadly communicable disease, causing 3.0 million deaths worldwide in 2016. The death rate from diarrhoeal diseases decreased by almost 1 million between 2000 and 2016, but still caused 1.4 million deaths in 2016. Similarly, the number of tuberculosis deaths decreased during the same period, but is still among the top 10 causes with a death toll of 1.3 million. HIV/AIDS is no longer among the world’s top 10 causes of death, having killed 1.0 million people in 2016 compared with 1.5 million in 2000.

Road injuries killed 1.4 million people in 2016, about three-quarters (74%) of whom were men and boys."


Taarifa hiyo inaonyesha magonjwa 10 yanayoua watu zaidi duniani,ugonjwa wa kwanza ukiwa ugonjwa wa Moyo,a stagerring 15.2 million kwa mwaka 2016!Sasa nadhani labda idadi hiyo imefikia 20 million.Sasa mbona haijatangazwa kuwa pandemic?Acheni ujinga ninyi,wezenu wanafanya vitu vyao.
 
Mtu mwenye mawazo ya kujifukiza, anayeamini kuwa mask zimewekewa virusi.... hana element za kishetani?
Na wanaokubali kuwazika wenzao usiku ni watz wenzetu ambao tunaishi nao mitaani?

Kwa akili ya kawaida, unaanzaje kutoa wazo la kishetani kufanyia mambo gizani?

Ni nani huyo aliyetoa wazo chafu hili?

Ni nani yuko nyuma ya mpango wa kishetani wa kuzika wapendwa watanzania usiku watu wakiwa wamelala?

Huyo mtu anaweza wekwa hadharani tumjue?
 
Mkuu are you really serious. kwamba hujui relationship kati ya C-19 na 5G!Basi science yako kama umesoma science itakuwa umeishia A-level.Ipo relationship kati ya 5G na C-19.Unajua kwamba 1G-4G zinaharibu immune system?Infact jinsi unavyo upgrade generation,ndivyo destruction power ya immune system inavyo ongezeka.

Sasa 5G ubaya wake ni kwamba inatumia technology tofauti kidogo,technologia ya millimeter waves,ambazo ni very destructive to the blood and even DNA.Millimeter waves are so destructive kiasi kwamba,zinafanya zile electrons za outermost shell ya Oxygen atom zi-spin na hivyo Haemoglobin ishindwe kuichukua Oxygen kwa sababu inaiona ile Oxygen molecule kuwa ni foreign body.Ndio maana symptom moja wapo ya mtu aliyekuwa exposed to 5G or electromagnetic radiation ni kama anakosa hewa hivi.Generations zote zinatoa EMFs,ila 5G ni hatari sana kwa mwanadamu,ndio maana wazungu wamekufa sana.

Kwa bahati nzuri niseme sisi tuana 3G-4G.Hizi generations zinatoa Electromagnetic radiation,lakini sio as destructive as 5G kwa kuwa zenyewe hazitumii millimetre waves.And lthat is why you see C-19 kwenye most African countries na countries ambazo 5G haijawa rolled out,fatalities za C-19 ni limited.Hata hivyo nisisitize kwamba 5G ni trigger,sio causative agent.
Sawa mkuu ambaye ni msomi wa zaidi zaidi ya A level naona hapo ndipo umetoa relationship ya Corona virus na G5!!

JF sometimemes kunadharau utafikiri tunajuana ...!!
 
Heshima aliyojijengea Magufuli kwa miaka minne na miezi kadhaa, yaweza kuyeyuka Ndani ya usiku mmoja na akadharaulika milele Ndani na nje ya mipaka yetu.
Kufa na Corona sio aibu, aseme ukweli
Toka ulipoyaweka maneno haya hapa jukwaani hiyo jana, nimekuwa kila nikifungua mada hii, narudia kuyasoma haya maneno uliyoandika katika mistari mitatu niliyo'quote' hapo juu.

Sasa nadhani ni mara yangu ya nne au tano nikirudi kuyasoma..., sijui hasa sababu inayosababisha nifanye hivyo.
Au tuseme sielewi ulichoandika, na ni jitahada zangu za kutaka kuelewa una maana gani?

Hebu nijaribu kuyachambua:
1. "Heshima aliyojijengea Magufuli kwa miaka minne na miezi kadhaa." - Mkuu, heshima ipi hasa? Huenda tukianzia hapo inaweza kueleweka kwa urahisi.

2. "--- yaweza kuyeyuka ndani ya usiku mmoja" - kuna heshima uliyompa, na ambayo huielezi. Ukiieleza hii heshima pengine itakuwa rahisi kwa wasomaji wako kukuelewa na kuwa na msimamo, aidha kwa upande wako au upande wa pili. Na kweli hii itakuwa ni heshima? inayoyeyushwa "ndani ya usiku mmoja"?

3. "Kudharaulika milele ndani na nje ya mipaka yetu" - hili tayari lipo wazi mkuu 'Bujibuji', halisubiri tena hiyo sababu unayoificha yasitokee hayo unayomtabiria.

Historia ya nchi hii itaonyesha pasipo kificho kwamba katika tawala zilizowahi kuwepo ndani ya nchi hii, mojawapo ya utawala mbovu zaidi kuwahi kutokea katika taifa hili, utakuwa ni huu wa John Pombe Magufuli.
Sioni namna atakayoweza kuibadilisha hali hiyo, hata kama ataendelea kuwepo madarakani kwa nguvu.


Nadhani sasa nimeutua mzigo, sina haja tena ya kurudia kuisoma hiyo mistari yako mitatu iliyokuwa ikinisumbua akilini.
 
Taarifa hiyo inaonyesha magonjwa 10 yanayoua watu zaidi duniani,ugonjwa wa kwanza ukiwa ugonjwa wa Moyo,a stagerring 15.2 million kwa mwaka 2016!Sasa nadhani labda idadi hiyo imefikia 20 million.Sasa mbona haijatangazwa kuwa pandemic?Acheni ujing
Huu ni ujinga usiokuwa na kipimo. Na wote ni katika juhudi za kufifisha au kuhalalisha maamuzi ya kipuuzi!
 
IMG_20200430_085955.jpg
 
Na wanaokubali kuwazika wenzao usiku ni watz wenzetu ambao tunaishi nao mitaani?

Kwa akili ya kawaida, unaanzaje kutoa wazo la kishetani kufanyia mambo gizani?

Ni nani huyo aliyetoa wazo chafu hili?

Ni nani yuko nyuma ya mpango wa kishetani wa kuzika wapendwa watanzania usiku watu wakiwa wamelala?

Huyo mtu anaweza wekwa hadharani tumjue?
Tukiwaita washirikina mnatupinga,Mara tujifukize sijui na vitu gani katika 100°c na tukifariki wanatuzika kama mbwa kichaa.
Hawa siyo Watanzania, wana roho ngumu na mbaya,hawajali utu wetu.Halafu bado wanataka kuendelea kututawala,nani kawaambia tunataka kutawaliwa hivyo?
 
Back
Top Bottom