Food For thought: Kwanini Watu Sasa wanazikwa Usiku, tena na vyombo vya Serikali?

Wenye hofu waache watajijua wenyewe usisumbuke,mi hata hilo barakoa sivai wala siachi kusafiri ktk shughuli zangu,watu wameziba vinywa muda wote ilihali wamezaliwa humu humu kwenye bara lenye kila aina ya virus,watu wamesahau hata kabla ya Covid-19 wazungu wamekua wakilazwa kwa mafua tu ya kawaida,sasa wamepata pigo huko kwao ni jaribu lao wanalazimisha dunia yote iwe na taharuki ilihali sisi hiyo kitu yao ni kama haituwezi japo usafi ni muhimu ili tuepuke hata kile ambacho hua kinatuweza (kipindupindu) lakini hii ngoma watu ni kutiana hofu tu kijinga jinga na kila anayesema maneno ukimuuliza kama ameona anasema ameambiwa jamaa yake wa karibu..mambo ya kipuuzi kabisa?eti watu wanakufa na kuzikwa kimya kimya,tuna ndugu kila kona ya nchi na marafiki lakini hatusikii kesi,wala kwa jirani afu limtu linakuja humu linasema watu wanakufa kwa wingi na kuzikwa usiku hata halijawahi kuona lenyewe limebeba manenobta walevi linatembea nayo
Najua ipo hofu sana,lakini it is unjustified. Vyombo vya habari vya nchi za magharibi ndivyo vilivyo anza,na hivi vimeamriwa kufanya hivyo na wakubwa zao ambao ni New World Order.New World Order wao hofu ni mtaji ili waweze kufanya mambo yao.Vyombo vyetu vya habari navyo kwa kutojua kinachoendelea,wakadakia.Sasa ni hofu,hofu,hofu kila mahali.Nirudie,sio kila ugonjwa ni C-19.Na tena kile kifaa kinachotumika kupimia C-19(PCR) mtengenezaji alisema kisitumike kwa kazi hiyo.Nchi za magharibi wanang'ang'ania kitumike kwa kuwa kina-inflate cases,na kwa hiyo kutekeleza lengo lao la kuleta hofu.Kiukweli kifaa hiki ni zoa zoa.Hii maana yake ni kwamba kina inflate sana idadi ya wagonjwa na hivyo vifo.Punguzeni woga,C-19 sio tatizo kihivyo.Cancer,Diabetes,Malaria ,Magonjwa ya Moyo ni more serious,sema hatuyatangazi.

Fuata link ifuatayo uone jinsi kifaa cha kupimia C-19 kinacho inflate cases.Na nimesema hii ni makusudi.

The Illusory Pandemic and the Diagnostic Tests | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary

Saaa eti watu mnaogoopa.Hivi mnajua athari za hofu kweli,hofu ni mbaya sana.Nadhani kuna haja ya kuleta mada ya "Hofu na athari zake" Mungu akitujalia.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Watu ni wajinga sana,mtu hajawahi kufiwa na ndugu kwa Corona,wala jirani yake wala rafiki yake lakini anasema watu wanakufa wengi na wala hajawahi kuona hayo mazishi,tupicha tumepigwaa nadhani na wanasiasa unakuta picha moja inasema watu wanazikwa na picha hiyo hiyo inapita tena mitandaoni ktk nchi jirani kwa uzushi huo huo,watu wapuuzi sana wanatisha watu tu bure hapa

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mkuu kwahiyo hao wanao zikwa usiku si binadamu au ni ndugu zao na wale waliookktwa mto ruvu
 
Na wanaokubali kuwazika wenzao usiku ni watz wenzetu ambao tunaishi nao mitaani?

Kwa akili ya kawaida, unaanzaje kutoa wazo la kishetani kufanyia mambo gizani?

Ni nani huyo aliyetoa wazo chafu hili?

Ni nani yuko nyuma ya mpango wa kishetani wa kuzika wapendwa watanzania usiku watu wakiwa wamelala?

Huyo mtu anaweza wekwa hadharani tumjue?
Ww ulishaona mpaka uwe na imani hii kua wanazikwa watu usiku?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
na hiki ndicho kipindi hatari sana watu wasio julikana watatumia nafasi hii kuondoka na ndugu zetu na kuwapoteza kabisa
 
Watu ni wajinga sana,mtu hajawahi kufiwa na ndugu kwa Corona,wala jirani yake wala rafiki yake lakini anasema watu wanakufa wengi na wala hajawahi kuona hayo mazishi,tupicha tumepigwaa nadhani na wanasiasa unakuta picha moja inasema watu wanazikwa na picha hiyo hiyo inapita tena mitandaoni ktk nchi jirani kwa uzushi huo huo,watu wapuuzi sana wanatisha watu tu bure hapa

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Ndio maana nasema watu wote wanaoletea hofu wananchi zisizo za lazima wakamatwe.
 
Sisi tunachapa kazi usitufundishe uvivu

Huku tukichukua tahadhari zinazotolewa na viongozi wetu wa Afya kuhusu kupambana na corona

Nyie chadema jifungieni
Ukitaka kujua Chadema hawamaanishi wanachosema mbona hawasusii posho waondoke dodoma?
Duuuh wewe kweli kichwani memory card imechomolewa, CHADEMA katoka wapi tena na kuzika watu usiku?? Jibu hoja why usiku?? Nini kinafichwaaa??
 
Wenye hofu waache watajijua wenyewe usisumbuke,mi hata hilo barakoa sivai wala siachi kusafiri ktk shughuli zangu,watu wameziba vinywa muda wote ilihali wamezaliwa humu humu kwenye bara lenye kila aina ya virus,watu wamesahau hata kabla ya Covid-19 wazungu wamekua wakilazwa kwa mafua tu ya kawaida,sasa wamepata pigo huko kwao ni jaribu lao wanalazimisha dunia yote iwe na taharuki ilihali sisi hiyo kitu yao ni kama haituwezi japo usafi ni muhimu ili tuepuke hata kile ambacho hua kinatuweza (kipindupindu) lakini hii ngoma watu ni kutiana hofu tu kijinga jinga na kila anayesema maneno ukimuuliza kama ameona anasema ameambiwa jamaa yake wa karibu..mambo ya kipuuzi kabisa?eti watu wanakufa na kuzikwa kimya kimya,tuna ndugu kila kona ya nchi na marafiki lakini hatusikii kesi,wala kwa jirani afu limtu linakuja humu linasema watu wanakufa kwa wingi na kuzikwa usiku hata halijawahi kuona lenyewe limebeba manenobta walevi linatembea nayo

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
G'tax Hebu soma carefully taarifa ifuatayo.Kama sio ujinga ni nini.Magonjwa ya Moyo yaliua 15.2 million people mwaka 2016 kufuatana na taarifa hii.Nadhani idadi hii imefika 20 million mwaka huu or even more.Taarifa hii pia inaonyesha kwamba magonjwa mengine yameua watu wengi kuliko COVID-19.Sasa kama hatujawahi kutangaza magonjwa ya Moyo kuwa pandemic,kwa nini tumetangaza COVID-19?Nadhani ipo agenda ya siri.

"Of the 56.9 million deaths worldwide in 2016, more than half (54%) were due to the top 10 causes. Ischaemic heart disease and stroke are the world’s biggest killers, accounting for a combined 15.2 million deaths in 2016. These diseases have remained the leading causes of death globally in the last 15 years.
Chronic obstructive pulmonary disease claimed 3.0 million lives in 2016, while lung cancer (along with trachea and bronchus cancers) caused 1.7 million deaths. Diabetes killed 1.6 million people in 2016, up from less than 1 million in 2000. Deaths due to dementias more than doubled between 2000 and 2016, making it the 5th leading cause of global deaths in 2016 compared to 14th in 2000.

Lower respiratory infections remained the most deadly communicable disease, causing 3.0 million deaths worldwide in 2016. The death rate from diarrhoeal diseases decreased by almost 1 million between 2000 and 2016, but still caused 1.4 million deaths in 2016. Similarly, the number of tuberculosis deaths decreased during the same period, but is still among the top 10 causes with a death toll of 1.3 million. HIV/AIDS is no longer among the world’s top 10 causes of death, having killed 1.0 million people in 2016 compared with 1.5 million in 2000.

Road injuries killed 1.4 million people in 2016, about three-quarters (74%) of whom were men and boys."
 
Rudia vizuri basi
Mkuu are you really serious. kwamba hujui relationship kati ya C-19 na 5G!Basi science yako kama umesoma science itakuwa umeishia A-level.Ipo relationship kati ya 5G na C-19.Unajua kwamba 1G-4G zinaharibu immune system?Infact jinsi unavyo upgrade generation,ndivyo destruction power ya immune system inavyo ongezeka.

Sasa 5G ubaya wake ni kwamba inatumia technology tofauti kidogo,technologia ya millimeter waves,ambazo ni very destructive to the blood and even DNA.Millimeter waves are so destructive kiasi kwamba,zinafanya zile electrons za outermost shell ya Oxygen atom zi-spin na hivyo Haemoglobin ishindwe kuichukua Oxygen kwa sababu inaiona ile Oxygen molecule kuwa ni foreign body.Ndio maana symptom moja wapo ya mtu aliyekuwa exposed to 5G or electromagnetic radiation ni kama anakosa hewa hivi.Generations zote zinatoa EMFs,ila 5G ni hatari sana kwa mwanadamu,ndio maana wazungu wamekufa sana.

Kwa bahati nzuri niseme sisi tuana 3G-4G.Hizi generations zinatoa Electromagnetic radiation,lakini sio as destructive as 5G kwa kuwa zenyewe hazitumii millimetre waves.And lthat is why you see C-19 kwenye most African countries na countries ambazo 5G haijawa rolled out,fatalities za C-19 ni limited.Hata hivyo nisisitize kwamba 5G ni trigger,sio causative agent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole yao sana wafiwa...

Tunazika usiku wa manane sababu hatutaki kuleta taharuki kwenye jamii...

Mambo yote ni kimya kimya kwa kificho...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom