Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Jina: Ousofia
Jinsia: ya kiume halafu namtafuta mrembo atayenifaa
Cheo unayotaka: Rais au makamu wa kampuni,ila sipendekezi sana hizo nafasi mpaka mtakaponiajiri kwanza.
Kiasi cha mshahara unaotaka:isipungue 185,000000/= kwa mwezi ila mnisaidie pia
Elimu:ndiyo
Ujuzi wako wa ziada:Nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi niliibiwa kalamu ila nilimkamata mwizi wangu.pia ujuzi wangu unabadilika kutokana na mazingira.
Ulishawahi kuajiriwa kwingine?: ndiyo
kwanini ukaacha hiyo ajira:ah uzinguzi
Muda utakaofanya kazi: wowote
Andika mawasiano ya mwajiri wako wa kwanza:kama yupo kwanini niombe kazi
Je kuna matatizo ya kiafya ambayo yangekuzuia usibebe kilogram isiyopumgua 5?:Kilogram za nini?
Una gari: nadhani swali la msingi hapa ingekuwa naendesha gari kwa speed gani
Unavuta sigara:kazini hapana nyumbani kama kawaida
Kwa hiyo miaka 5 ya ajira hapa Dar es salaam ungependa uishi wapi:napenda kuishi arusha na mwanza
Umehakikisha hayo yote uliyoyasema hapo juu ni kweli?: sijadanganya
Jinsia: ya kiume halafu namtafuta mrembo atayenifaa
Cheo unayotaka: Rais au makamu wa kampuni,ila sipendekezi sana hizo nafasi mpaka mtakaponiajiri kwanza.
Kiasi cha mshahara unaotaka:isipungue 185,000000/= kwa mwezi ila mnisaidie pia
Elimu:ndiyo
Ujuzi wako wa ziada:Nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi niliibiwa kalamu ila nilimkamata mwizi wangu.pia ujuzi wangu unabadilika kutokana na mazingira.
Ulishawahi kuajiriwa kwingine?: ndiyo
kwanini ukaacha hiyo ajira:ah uzinguzi
Muda utakaofanya kazi: wowote
Andika mawasiano ya mwajiri wako wa kwanza:kama yupo kwanini niombe kazi
Je kuna matatizo ya kiafya ambayo yangekuzuia usibebe kilogram isiyopumgua 5?:Kilogram za nini?
Una gari: nadhani swali la msingi hapa ingekuwa naendesha gari kwa speed gani
Unavuta sigara:kazini hapana nyumbani kama kawaida
Kwa hiyo miaka 5 ya ajira hapa Dar es salaam ungependa uishi wapi:napenda kuishi arusha na mwanza
Umehakikisha hayo yote uliyoyasema hapo juu ni kweli?: sijadanganya