Hivi leo kuna nini jamani, foleni ya Tazara iko mabibo hostel, masaa mawili toka Ubungo mpaka mwananchi. Kwa hali sijui tunaenda wapi!
Nimepata jibu, kuna maraisi sita wanakuja tz,.
Huyo mmoja si nasikia siyo Raisi tena.
ina maana kaisha badilishiwa jina ? tunaomba jina lake jipya huyo unayesema kuwa sio rais kwa sasa.
Jesh la burundi nasikia wanaongoza nchi, alipofika tu uwanja wa ndege,.
Mkimbizi NkurunzinzaIngekuwa vyema uwaulize waliombadilishia wamempa jina gani.