Flyoid pekee

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499

Jarida moja uko marekani limethibitisha na kuandika kuwa mpaka sasa mwana mchezo tajiri duniani ni bondia floyd my weather hii imejumuishwa kila aina ya michezo na wasanii hapa duniani , pia imethibitisha kuwa ndie mwanamichezo pekee mwenye ulinzi mkali sana na hatari kuliko wanamichezo na wasanii wote duniani, kama anavyoonekana pichani iko kijamaa cha katikati,
 
Hana pesa ya kumfikia Michael Jordan
wala hamfikii Tiger Woods...

hiko kijarida cha vichochoroni
 
Hana pesa ya kumfikia Michael Jordan
wala hamfikii Tiger Woods...

hiko kijarida cha vichochoroni
njoo na ushahidi la sivyo na wewe maneno yako yatakua ya vijiweni tu
 
Duuu hizi njemba zikikudaka lazima mavii yakutoke
 
hata Mimi ni tajiri sana

"uhai uhai uhai"

"pumzi"
 
njoo na ushahidi la sivyo na wewe maneno yako yatakua ya vijiweni tu

jarida la Forbes ndo linaloheshimika kwa net worth
wewe google net worth ya Michael Jordan na hao wengine

sio kusema jarida moja....ndo lipi hilo...
 
kulindwa lindwa inaonesha mtu hauko huru pamoja na kuwa na pesa nyingi.
 
Akifilisika atawalinda wenzake.

Mbona mabilionea hawana ulinzi wa ajabu kama huo?
 
Ila Floyd anamatanuz ya hasira na visasi hasa kwa maniga wenzake. Hayo yote anafanya maksudi tu. But he deserves his hard earned money
 
njoo na ushahidi la sivyo na wewe maneno yako yatakua ya vijiweni tu
ata mm nachofaham mwanamichezo alie kwenye list ya mabilionea ni Michael jordan pekee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…