tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Jarida moja uko marekani limethibitisha na kuandika kuwa mpaka sasa mwana mchezo tajiri duniani ni bondia floyd my weather hii imejumuishwa kila aina ya michezo na wasanii hapa duniani , pia imethibitisha kuwa ndie mwanamichezo pekee mwenye ulinzi mkali sana na hatari kuliko wanamichezo na wasanii wote duniani, kama anavyoonekana pichani iko kijamaa cha katikati,