silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,540
But you must understand that when he died the only thing they found in his stomach was anti depression pillsAiseee kweli kuna watu wameishi hapa Duniani, hii clip ni ya MJ akifanya shopping mitaa ya Las Vegas , shopping anaifanya kwa kunyoosha kidole tuu , hajali kuhusu bei, yeye ni mwendo wa kunyoosha tuu kidole “Nataka hicho” ...
Kweli sanaa inalipa, juzi huku kwetu ndugu yetu Naseeb Abdul alinunua Vito vyenye thamani ya milioni 48 ikawa bonge moja la story( hii pesa unajenga kabisa), ila akija akaona hii clip atahisi alinunua viazi au karanga maana watu wananunua mavitu hata hayajulikani kwa mabilioni na jamaa hana hata habari yaani..
Kuna baadhi ya watu wanasema hili Duka mpaka leo wanaionyesha hii clip ya namna MJ alivyofanya kufuru ya manunuzi
https://youtu.be/HRnCX-8hA4A