Daah, hiyo kitu inasumbuaga sana kupatikana, jaribu kuwasiliana na mafundi dar mkuu (ingawa sijui we uko wapi). Sidhani kama unaweza ipata dukani, mafundi wanachukuaga kwenye mashine zilizokufa, ila bei ndo balaa.
Ukikosa kabisa tuwasiliane, ila uwe na subira kwani inahitaji muda wa kati ya wiki 2 hadi 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.